JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: Sadifa Juma Khamis

Mwenyekiti wa Zamani wa Vijana wa CCM Afutiwa Mashitaka Mahakamani

Dodoma. Mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Dodoma imemwachia mwenyekiti wa zamani wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Juma Khamis baada ya upande wa Jamhuri kuwasilisha maombi ya kuifuta kesi iliyokuwa ikimkabili. Uamuzi huo umetolewa leo…

KESI YA SADIFA YAPIGWA KALENDA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imeiharisha kesi inayomuhusu aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM na Mbunge wa Donge, Zanzibar Sadifa Juma Khamis anayetuhumiwa kwa rushwa. Sadifa Juma Khamis alikamatwa nyumbani kwake Dodoma December 9, 2017 kwa tuhuma za Rushwa akidaiwa kuwapa wajumbe…