JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: URA

JE AZAM ATAWEZA KULIPA KISASI KWA URA, KOMBE LA MAPINDUZI?

Pambano la fainali la kombe la Mapinduzi limezidi kuvuta hisia za mashabiki wa soka visiwani Zanzibar baada ya makocha wa timu zote mbili kutambiana TIMU za Azam na URA keshozitashuka Uwanja wa Amaan Zanzibar kusaka taji la 12, la michuano…

YANGA USO KWA USO NA URA NUSU FAINAL YA KOMBE LA MAPINDUZI

Kufuatia matokeo ya jana kuanzia mchezo wa mapema uliowakutanisha Simba na URA, na kushuhudia Simba kipandishwa boti kurudi Dar es Salaam kwa kufungwa bao 1-0, na kuifanya URA kufika point 10 na kuongoza kundi A huku Azam ikishika nafasi ya…