JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: wabunge wa AEC

SOKA: Wabunge wa Tanzania Wamewatandika Wabunge wa Burundi

  KATIKA Michuano ya East Africa Parliamentary Games inayoshirikisha Vilabu vya Mabunge ya nchi za Afrika Mashariki, mechi iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Timu ya mpira wa miguu Bunge la Tanzania jana iliibuka na ushindi wa…

Majaliwa Awataka Wabunge wa EAC Kutumia Michezo Kuimarisha Ushirikiano

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wabunge wanaoshiriki mashindano ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wayatumie kuimarisha ushirikiano. Ametoa kauli hiyo leo (Jumatatu, Desemba 4, 2017) wakati akifungua mechi ya mpira wa miguu iliyozikutanisha timu za Tanzania na Burundi…