JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: waziri ndalichako

WAZIRI NDALICHAKO: WALIOFUKUZWA KWA KUSHINDWA KULIPA MICHANGO WARUDISHWE SHULE

Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako amewaagiza Wakurugenzi wa Elimu kuhakikisha kuwa, wanafunzi wote waliofukuzwa shule kutokana na kushindwa kutoa michango mbalimbali warudishwe mara moja na wazazi waliotoa michango yao warudishiwe. Ameyasama hayo leo baada kupokea agizo kutoka kwa Rais…