Nani kuchomoka?

Uamuzi wa Rais John Magufuli, wa kuwataka Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) na Wakili Mkuu wa Serikali (SG) kupitia kesi za watuhumiwa wa makosa ya uhujumu uchumi na utakatishaji ili kuwaachia huru walio tayari kurejesha fedha, umepokewa kwa shangwe kubwa nchini. Chumba cha habari cha JAMHURI kimepokea simu kutoka kwa watu mbalimbali nchini, hasa wenye…

Read More

Maono ya Mwalimu Nyerere hayapingiki

Septemba 7, mwaka huu kwenye jengo la Taasisi ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, kulifanyika Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere –miaka 20 tangu alipofariki dunia. Wasomi na watu mashuhuri mbalimbali walitoa mada. Miongoni mwao ni Samuel Kasori aliyetoa mada hii iliyochapishwa hapa. Endelea… “Hakuna mtu anayetaka kuwapenda wengine zaidi ya tunavyojipenda…

Read More

Ada hewa zavuruga chuo Hai

Udanganyifu wa ada za wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Moshi kilichopo wilayani Hai unaodaiwa kufanywa na mhasibu wa chuo hicho akishirikiana na mtunza fedha wa ELCT SACCOS umeigharimu Benki ya CRDB na SACCOS hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, ameamua kuzibana taasisi hizo baada ya kubainika kuwa zimezembea kuzuia udanganyifu huo usitendeke. Sh milioni…

Read More

Marekani wathibitisha hakuna ebola

Wiki moja tangu serikali itoe tamko kwamba hakuna ugonjwa wa ebola hapa nchini, Shirika la Afya Duniani (WHO) na kitengo cha kupambana na magonjwa kutoka nchini Marekani (CDC), wamethibitisha kwamba hakuna mlipuko wa ugonjwa huo. Uthibitisho huo umekuja siku chache baada ya serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kuruhusu…

Read More

Miaka 4 bado Rais John Magufuli hatujamwelewa?

Kuna mambo kadhaa mawili yaliyotokea katika Jiji la Dar es Salaam yenye kuakisi udhaifu wa baadhi ya watendaji katika serikali na idara zake. Hivi karibuni Rais John Magufuli alifanya ziara ya kushitukiza katika machinjio ya Vingunguti jijini humo na kustaajabu namna ujenzi wa machinjio ya kisasa unavyosuasua. Katika hali ya kuumia moyoni, Rais Magufuli hakusita…

Read More

NINA‌ ‌NDOTO‌ ‌(36)‌

Nitaifanyia‌ ‌nini‌ ‌nchi‌ ‌yangu?‌ Kila kukicha, kila eneo ninakopita nasikia watu wakilalamika na‌kusema nchi yao haijafanya hiki, au serikali haijawafanyia kile. Lakini je, ni watu wangapi wanawaza kufanya kitu fulani kwa ajili ya nchi yao?‌ Ni mara ngapi umewaza kuifanyia kitu kikubwa Tanzania? Ni mara ngapi umewaza‌ kuifanyia kitu kikubwa nchi yako? Tusiwe‌watu wa kukaa…

Read More