Nani kuchomoka?
Uamuzi wa Rais John Magufuli, wa kuwataka Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) na Wakili Mkuu wa Serikali (SG) kupitia kesi za watuhumiwa wa makosa ya uhujumu uchumi na utakatishaji ili kuwaachia huru walio tayari kurejesha fedha, umepokewa kwa shangwe kubwa nchini. Chumba cha habari cha JAMHURI kimepokea simu kutoka kwa watu mbalimbali nchini, hasa wenye…