Mama aua mtoto wake na kumla

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Shinyanga Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Nyasorod Paul, anadaiwa kumuua mtoto wake Nazaeri Kidia, mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba na kisha kumla nyama. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, SACP Janeth Magomi, amesema mwanamke huyo mkulima mkazi wa Shinyanga, aliondoka nyumbani Januari…

Read More