JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Papa Leo XIV aonya kuhusu mizozo duniani

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa 14 amelalalamikia mizozo iliyotawaliwa na umwagaji damu inayoendelea duniani na kusema kuwa inahatarisha mustakabali wa ubinadamu. Papa Leo ameeleza kuwa dunia inayumba kutokana na tamaa na kuchagua mambo yanayodidimiza haki na amani. Ameyasema hayo…

Watu 90 wafariki kwa mafuriko Indonesia

Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya takriban watu 90 nchini Indonesia wiki hii huku mvua kubwa isiyo ya kawaida ikinyesha katika kisiwa cha Sumatra. Kanda za video zinaonyesha mafuriko yakivunja kingo za mito, wakaazi wakiingia kwenye maji…

Ajali ya ndege ya UPS, saba wafariki, 11 wajeruhiwa

Takriban watu saba wameuawa wakati ndege ya mizigo ya UPS ilipoanguka ilipokuwa ikipaa kutoka uwanja wa ndege wa Louisville, Kentucky Jumanne jioni, gavana wa jimbo hilo alisema. Andy Beshear alisema wafanyakazi watatu wa ndege hiyo huenda wakawa miongoni mwa waliofariki…

12 wafariki katika ajali ya ndege pwani ya Kenya

Ndege iliyokuwa na watu 12 imeanguka katika eneo la kaunti ya Kwale, pwani ya Kenya. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Kenya (KCAA) Emile Arao amethibitisha kwamba ndege hiyo, nambari ya usajili 5Y-CCA, iliyokuwa na watalii ilikuwa…

Rais Ruto: Kifo cha Raila Odinga ni pigo kubwa sana kwangu

Rais William Ruto amesema kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga ni hasara kubwa kwake binafsi, akimtaja marehemu kiongozi wa upinzani kama mtu muhimu katika maisha ya kisiasa na kitaifa ya Kenya. Akizungumza wakati wa hafla ya mazishi ya Raila…

Trump kukutana na Zelenskyy baada ya kuzungumza na Putin

Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine mjini Washington leo siku moja baada ya kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Urusi yaliyojadili hatua za kumaliza vita. Trump amesema mazungumzo yake kwa njia ya simu…