Category: Kimataifa
Maelfu waandamana kupinga azma ya kuidhibiti Greenland
Maelfu ya watu wamejitokeza katika mitaa ya mji mkuu wa Denmark wa Copenhagen hivi leo, kupinga azma ya Rais Donald Trump ya kutaka kuichukua. Maelfu ya watu wamejitokeza katika mitaa ya mji mkuu wa Denmark wa Copenhagen hivi leo, kupinga…
Museveni wa Uganda ashinda muhula wa saba wa Urais
Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imesema Rais Yoweri Museveni ameshinda kwa kishindo katika uchaguzi wa urais wa Uganda. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Simon Mugenyi Byabakama amesema siku ya Jumamosi. Matokeo rasmi ya uchaguzi yanaonyesha, Museveni ameshinda muhula wake wa…
Kenya yawatahadharisha wananchi ushiriki wa kukumbatia mti kwa muda mrefu
Wizara ya Afya nchini Kenya imeibua wasiwasi juu ya mwelekeo unaoibuka wa watu kushiriki katika shughuli za kukumbatia miti kwa muda mrefu, huku ripoti zikionyesha kuwa baadhi ya washiriki wamepatwa na matatizo ya kiafya yaliyozidi kiasi cha kuhitaji kupelekwa hospitalini….
UN yaitaka Iran kusitisha mipango ya kuwaua waandamanaji
Umoja wa Mataifa umeitaka Iran kusitisha mpango wa kutekeleza hukumu ya kifo kwa waandamanaji waliokamatwa na ichunguze taarifa zote za vifo kwa uhuru na uwazi. Wito huo umetolewa jana na Martha Pobee, katibu mkuu msaidizi wa Umoja wa Mataifa anayehusika…
Marekani yatishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran
Marekani kwa mara nyingine imeitishia serikali ya Iran juu ya uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi kutokana na ukandamizaji wakati wa maandamano makubwa ya kitaifa. Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Mike Waltz, kwenye kikao cha Baraza la Usalama…
Gharama za kupasha joto Ujerumani kuongezeka
Katika msimu wa baridi kali, matumizi ya nishati huongezeka kwa sababu watu hutumia muda mwingi ndani ya nyumba na wanahitaji joto la kutosha ili kukabiliana na baridi kali – hali hii husababisha bili za nishati kupanda. Raia nchini Ujerumani wanatarajiwa…





