Category: Kimataifa
Ulaya ‘imejiandaa kuchukua hatua kwa dharura’ kuhusu Greenland – EU
Mkuu waTume ya Ulaya, Ursula von der Leyen anasema akiwa Davos kuwa Ulaya imejipanga kukabiliana na Trump kuhusu azimio la Trump kudhibiti Greenland. Siku ya Jumanne, Rais wa Ufaransa Macron alisema EU inaweza kuzingatia chaguzi kadhaa za kulipiza kisasi ikiwa…
Afya ya mwanasiasa mkongwe Kizza Besigye yazidi kuwa mbaya
Afya ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye “imefikia hali mbaya na mbaya”, chama chake kinasema, baada ya kupelekwa kwenye kituo cha matibabu katika mji mkuu, Kampala. Mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 69 alikimbizwa katika kituo cha…
Watu 114 wafariki, miundombinu yaharibiwa kwa mafuriko Msumbiji
Watu wasiopunguwa 114 wamefariki na uharibifu mkubwa wa mali umeripotiwa huku baadhi ya vijiji vikifunikwa kabisa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Msumbiji. Timu ya waokoaji nchini Msumbiji inaendelea kutafuta watu walionusurika baada ya mafuriko mabaya kuwahi kuikumba nchi…
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wajipanga kumkabili Trump Davos
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejitokeza jukwaani Davos kabla ya Rais wa Marekani Donald Trump, huku vitisho vya ushuru na mgogoro wa Greenland vikizidisha mvutano wa kisiasa na kiuchumi kati ya washirika wa jadi. Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejitokeza…
Jeshi la Marekani laikamata meli nyingine ya Venezuela
Kamandi ya Kusini ya Jeshi la Marekani (SOUTHCOM) ilidai kuwa meli hiyo, Sagitta, ilikuwa imekiuka marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump. Kupitia mtandao wa X, kamandi hiyo ilisema: “Marekani imejitolea kuhakikisha kuwa mafuta pekee yanayoondoka Venezuela ni yale yanayopitia njia halali…
Trump aapa kutekeleza asilimia 100 tishio la kutoza ushuru nchi za Ulaya
Donald Trump ameapa asilimia 100 kutekeleza tishio lake la kutoza ushuru kwa nchi za Ulaya zinazopinga ombi lake la kuchukua udhibiti wa Greenland. Washirika wa Ulaya wameungana kuunga mkono uhuru wa Greenland. Waziri wa mambo ya nje wa Denmark alisisitiza…





