Category: Kimataifa
Brazil yaruhusu kilimo cha bangi kwa matumizi ya tiba
Wakala wa Taifa wa Udhibiti wa Afya wa Brazil imeruhusu rasmi kilimo cha mmea wa Cannabis sativa nchini Brazil kwa matumizi ya tiba na utafiti wa kisayansi. Uamuzi huo umetokana na maelekezo ya Mahakama ya Juu ya Haki (STJ), ambayo…
CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini…
Madaktari wafanikiwa kurejesha uume uliokatwa nchini Ethiopia, watumia saa 9 kurejesha
Madaktari katika hospitali ya Alert huko Addis Ababa wamefanikiwa kurudisha uume uliokatwa wa kijana mmoja baada ya upasuaji wa saa saba. Dkt. Abdurrezak Ali, mkuu wa Idara ya Upasuaji na Urekebishaji, aliambia BBC kwamba mgonjwa huyo alijiumiza usiku wa manane…
Netanyahu : Iran ikivamia Israel, tutajibu kwa nguvu haijawahi kushuhudiwa
Waziri Mkuu wa Israel amesema kuwa iwapo Iran itajaribu kuishambulia nchi yake kwa shambulio la kushtukiza, ataijibu kwa nguvu kali. Benjamin Netanyahu alisema katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu uwezekano wa Iran kuishambulia nchi yake mapema, “Ikiwa Iran itafanya…
Kim : Mipango ya nyuklia itawekwa wazi hivi karibuni
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ametangaza kuwa mipango ijayo ya nchi yake ya kuongeza hazina ya silaha za nyuklia itawekwa wazi wakati wa mkutano mkuu wa chama tawala utakaofanyika wiki kadhaa zinazokuja. Shirika la Habari la Korea Kaskazini,…
Watu bilioni 3.8 kukumbana na joto kali ifikapo 2050
Wanasayansi wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani, huenda wakakabiliwa na joto kali zaidi ifikapo mwaka 2050 huku nchi za ukanda wa Tropiki zikitarajiwa kuathirika zaidi. Wanasayasni wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani, huenda wakakabiliwa na joto…





