Category: Kimataifa
Marekani inatarajiwa kujiondoa rasmi kutoka WHO
Marekani inatarajiwa kujiondoa rasmi hii leo kutoka Shirika la Afya Duniani WHO, hatua ambayo imeibua wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa afya na jumuiya ya kimataifa. Hatua hiyo imekuja licha ya tahadhari kwamba kujiondoa kwa taifa hilo lenye ushawishi mkubwa…
Viongozi wa EU kukutana kwa dharura kuhusu Greenland
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatarajiwa kukutana leo mjini Brussels katika juhudi za kutafuta majibu ya pamoja dhidi ya azma ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kukitwaa kisiwa cha Greenland. Rais Trump alikuwa ametangaza kuziwekea ushuru wa asilimia 10…
Trump: Makubaliano ya Greenland yamefurahiwa na kila mmoja
Rais wa Marekani donald Trump amesema kuwa amefikia makubaliano ya mkakati unaomridhisha kuhusu Greenland. Trump aliyasema hayo wakati ambapo pia amedai kuwa hatotumia nguvu kukichukua kisiwa cha Greenland na pia kudai kuwa hatoziwekea tena ushuru bidhaa za mataifa nane ya…
Ulaya ‘imejiandaa kuchukua hatua kwa dharura’ kuhusu Greenland – EU
Mkuu waTume ya Ulaya, Ursula von der Leyen anasema akiwa Davos kuwa Ulaya imejipanga kukabiliana na Trump kuhusu azimio la Trump kudhibiti Greenland. Siku ya Jumanne, Rais wa Ufaransa Macron alisema EU inaweza kuzingatia chaguzi kadhaa za kulipiza kisasi ikiwa…
Afya ya mwanasiasa mkongwe Kizza Besigye yazidi kuwa mbaya
Afya ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye “imefikia hali mbaya na mbaya”, chama chake kinasema, baada ya kupelekwa kwenye kituo cha matibabu katika mji mkuu, Kampala. Mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 69 alikimbizwa katika kituo cha…
Watu 114 wafariki, miundombinu yaharibiwa kwa mafuriko Msumbiji
Watu wasiopunguwa 114 wamefariki na uharibifu mkubwa wa mali umeripotiwa huku baadhi ya vijiji vikifunikwa kabisa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Msumbiji. Timu ya waokoaji nchini Msumbiji inaendelea kutafuta watu walionusurika baada ya mafuriko mabaya kuwahi kuikumba nchi…





