JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Urusi na Ukraine zabadilishana wafungwa

Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa wa vita na raia baada ya siku mbili za mazungumzo ya amani yanayosimamiwa na Marekani huko Abu Dhabi. Jumla ya Waukraine 157 – saba kati yao wakiwa raia – na wanajeshi 157 wa…

Hofu ya vita ya Marekani na Iran yatikisa Mashariki ya Kati

Huku juhudi za kidiplomasia zikiendelea kuzuia mzozo mpana Mashariki ya Kati, Saudi Arabia, mataifa ya Ghuba na Israel zinaweka mbele maslahi yao wakati mvutano kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka. Katika wiki iliyopita, hali ya wasiwasi kuhusu uwezekano wa…

Urusi yaishambulia tena miji mikubwa ya Ukraine

Majeshi ya Urusi yameishambulia tena miji miwili mikubwa ya Ukraine mapema leo na kusababisha madhara makubwa kwa majengo na miundombinu ya nishati, lakini hadi sasa hakuna taarifa yoyote ya vifo. Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi wa mji mkuu, Kiev,…

Zaidi ya watu 200 wafariki katika mgodi ulioporomoka DR Congo

Zaidi ya watu 200 wamefariki dunia katika mgodi ulioporomoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, mamlaka ya waasi imesema. Mgodi huo, katika mji wa Rubaya, uliporomoka juzi kutokana na mvua kubwa, Lumumba Kambere Muyisa, msemaji wa gavana wa waasi…

Mwanamke azirai kwa kupigwa viboko 140 Indonesia kwa uasherati

Wanandoa wawili nchini Indonesia wamepigwa viboko mara 140 kwa kufanya mapenzi nje ya ndoa ambayo ni makosa au haram katika sheria za dini ya kiislamu. Mwanaume na mwanamke hao walipigwa viboko hivyo hadharani. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 21,…

Bodi ya IAEA kujadili usalama wa nyuklia wa Ukraine

Bodi ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kudhibiti Matumizi ya Nishati ya Nyuklia, IAEA, itakutana leo kujadili usalama wa nyuklia nchini Ukraine. Kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya Urusi, nchi 13 zikiongozwa na Uholanzi zimeiomba bodi hiyo ya IAEA kukutana…