Category: Kimataifa
Urusi : Droni za Ukraine zimeua 24 Kherson
Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilitaja tukio hilo kuwa “shambulio la kigaidi,” huku ikisema Rais Vladimir Putin amearifiwa. Mamlaka zilizowekwa na Urusi katika eneo la Kherson nchini Ukraine zimesema zaidi ya watu 24 wameuawa baada ya shambulio la…
Jengo la ghorofa 16 linaloendelea kujengwa laporomoka jijini Nairobi
Watu wawili wanahofiwa kukwama baada ya jengo la orofa 16 lililokuwa likijengwa kuporomoka katika eneo la South C jijini Nairobi. Operesheni ya uokoaji inayohusisha vitengo tofauti ikiwa ni pamoja na wanajeshi, polisi, huduma za dharura za kaunti ya Nairobi na…
Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafikia 1000
Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 1,000 nchini Indonesia. Haya yamesemwa leo na maafisa wa uokoaji nchini humo. Shirika la Kitaifa la Kukabiliana na Maafa limesema maafa hayo, ambayo yamekumba kisiwa cha kaskazini-magharibi cha…
Papa Leo ahimiza mshikamano mpya Lebanon
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV alihimiza mshikamano na matumaini mapya katika Lebanon inayokabiliwa na migogoro akipongeza ‘ustahimilivu’ wa nchi hiyo licha ya miaka ya migogoro na misukosuko. Katika sehemu ya pili ya ziara yake ya kwanza ya…
Papa Leo XIV aonya kuhusu mizozo duniani
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa 14 amelalalamikia mizozo iliyotawaliwa na umwagaji damu inayoendelea duniani na kusema kuwa inahatarisha mustakabali wa ubinadamu. Papa Leo ameeleza kuwa dunia inayumba kutokana na tamaa na kuchagua mambo yanayodidimiza haki na amani. Ameyasema hayo…
Watu 90 wafariki kwa mafuriko Indonesia
Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya takriban watu 90 nchini Indonesia wiki hii huku mvua kubwa isiyo ya kawaida ikinyesha katika kisiwa cha Sumatra. Kanda za video zinaonyesha mafuriko yakivunja kingo za mito, wakaazi wakiingia kwenye maji…




