Category: Kimataifa
Netanyahu : Iran ikivamia Israel, tutajibu kwa nguvu haijawahi kushuhudiwa
Waziri Mkuu wa Israel amesema kuwa iwapo Iran itajaribu kuishambulia nchi yake kwa shambulio la kushtukiza, ataijibu kwa nguvu kali. Benjamin Netanyahu alisema katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu uwezekano wa Iran kuishambulia nchi yake mapema, “Ikiwa Iran itafanya…
Kim : Mipango ya nyuklia itawekwa wazi hivi karibuni
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ametangaza kuwa mipango ijayo ya nchi yake ya kuongeza hazina ya silaha za nyuklia itawekwa wazi wakati wa mkutano mkuu wa chama tawala utakaofanyika wiki kadhaa zinazokuja. Shirika la Habari la Korea Kaskazini,…
Watu bilioni 3.8 kukumbana na joto kali ifikapo 2050
Wanasayansi wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani, huenda wakakabiliwa na joto kali zaidi ifikapo mwaka 2050 huku nchi za ukanda wa Tropiki zikitarajiwa kuathirika zaidi. Wanasayasni wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani, huenda wakakabiliwa na joto…
Sudan Kusini yaamuru raia kuondoka maeneo ya Jonglei
Jeshi la Sudan Kusini limeamuru raia wote pamoja na wafanyakazi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa na wahudumu wote wa mashirika ya msaada kuondoka katika kaunti tatu za Jimbo la Jonglei, kabla ya operesheni ya kijeshi. Jeshi la Sudan Kusini…
Obama, Clinton wakemea mauaji ya raia wa Marekani
Marais wa zamani wa Marekani Barack Obama na Bill Clinton, wametoa wito kwa Wamarekani kusimama na kutetea maadili ya nchi yao baada ya mauaji ya pili ya raia mjini Minneapolis. Marais wa zamani wa Marekani Barack Obama na Bill Clinton,…
Urusi: Mazungumzo na Ukraine huko UAE yalikuwa chanya
Ikulu ya Urusi Kremlin, imesema hii leo kwamba mazungumzo ya pande tatu yaliyoratibiwa na Marekani huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kati ya wajumbe wa Urusi na Ukraine yalifanyika kwa mtazamo wa kujenga. hIkulu ya Urusi Kremlin, imesema hii…





