Category: Siasa
CUF: Hatutosusia Uchaguzi Mkuu, badala yake tutashiriki kikamilifu
Na Mwandishi Wetu, Mtwara Chama cha Wananchi (CUF) kimesema hakitasusia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 badala yake kitashiriki kikamilifu zoezi hilo. Hayo yalibainishwa wakati wa mkutano wa hadhara wa kitaifa wa chama hicho Jimbo la Mtwara Mjini uliyofanyika Manispaa…
Bashungwa: Nimerudi nyumbani tena kuomba dhamira yenu ya kuleta maendeleo Karagwe
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent Lugha Bashungwa, ametangaza rasmi nia ya kuendelea kulihudumia Taifa kupitia nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Karagwe kwa kuchukua na kurejesha fomu ya kugombea kupitia CCM. Tukio hilo…
Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dk Kimei
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMesia, Moshi Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Enock Koola (35), ambaye aliongoza katika kura za maoni katika kinyang’anyiro cha ubunge mwaka 2020, amechukua tena fomu ya kuwania tena nafasi hiyo ya uwakilishi, akiwa miongoni mwa waliojitokeza…
Kaboyoka ajiunga rasmi na ACT -Wazalendo
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MBUNGE wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha 2020 hadi 2025, Nagy Livingstone Kaboyoka, amejiunga rasmi na Chama cha ACT Wazalendo. Hafla ya mapokezi imefanyika leo…
CHAUMA :Kususia uchaguzi ni kukwamisha maendeleo
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimewataka wananchi kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu na kufichua kuwa kususia uchaguzi ni kukwamisha maendeleo. Rai hiyo imetolewa jana na Katibu Mkuu wa…
Oktoba tunatiki kwa Rais Dk Samia – Wasira
*Ataja sababu za ‘Oktoba Tunatiki’ kwa Dk. Samia, Dk. Nchimbi*Asema kaulimbiu ‘No Reform No Election’ inaelekea mwisho*Asema Watanzania hawana historia wala sababu Wakristo, Waislamu kugombana*Awahakikishia wananchi uchaguzi uko pale pale, amani nchini uhakika Na Mwandishi Wetu, Tunduru MAKAMU Mwenyekiti wa…