JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

CHADEMA: Uhamuzi wa Magufuli ni wa Utekerezaji Ahadi Yetu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimempongeza Rais John Magufuli kwa kutekeleza ahadi zilizotolewa na mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa ikiwemo ya kuwaachia huru wanamuziki Nguza Viking na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’. Taarifa iliyotolewa jana  Jumamosi na chama…

Mrema Anena Neno Msamaha wa Wafungwa

Mwenyekiti wa Bodi ya Parole, Augustine Mrema amepongeza uamuzi wa Rais John Magufuli wa kutoa msamaha kwa wafungwa na kumuelezea kama Rais mwenye upendo wa aina yake. Mrema amesema ni wazi kuwa Rais amesikia kilio cha watu na kuamua kufanya…

Bandari Kwafukuta

*Mkurugenzi wa Ulinzi asimamishwa kazi kimyakimya *Timu aliyounda Rais Magufuli yaendelea na upekuzi *Wasiwasi watanda kwa watumishi, wafanyabiashara *Mjumbe wa Bodi ataka NASACO irejeshewe udhibiti Na Waandishi Wetu Kuna kila dalili kuwa hali ya hewa imechafuka tena katika Mamlaka ya…

Rais Magufuli Atoa Msamaha kwa Wafungwa 8157

Rais Magufuli ametangaza msamaha kwa wafungwa 8,157 ikiwa ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kati yao, wafungwa 1,828 watatoka leo na 6,329 wamepunguziwa muda wa adhabu. Miongoni mwa Wafungwa hao waliopata msaha wapo pia wafungwa…

Babu Seya na Mwanae Johnson Nguza ‘Papii Kocha Wapata Msamaha wa Rais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ametangaza kumsamehe Nguza Viking marufu kama ‘Babu Seya’ na mwanae Johnson Nguza ‘Papi Kocha’ waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kubaka. Rais Magufuli ameyasema hayo leo Mjini…

Rais Magufuli Amtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa Ulinzi

Kufuatia vifo vya Wanajeshi 14 wa Tanzania ambao walikuwa miongoni mwa wanasheshi wa Umoja wa Mataifa UN wa kulinda Amani nchini DRC Congo (MUNUSCO), Amiri Jeshi Mkuu, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemtumia…