JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Jaji Mkuu:Wadau msibaki nyuma safari ya Mahakama Mtandao

Magreth Kinabo na Mary Gwera,JamhuriMedia Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema kwamba wadau wa Mahakama ya Tanzania wasibaki nyuma katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) wakati huu Mahakama inapoelekea kwenye Mahakama mtandao ‘e-Judiciary’. Akizungumza na…

Matajiri ‘wategesha bomu’ Nyamongo

*Likilipuka litaufilisi mgodi, litawaachia wananchi umaskini * Wengi wao ni kutoka Dar es Salaam, Mwanza *Serikali yaombwa kuingilia, kuzuia hali ya hatari TARIME Na Mwandishi Wetu Wakati serikali ikifanya jitihada kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwa manufaa ya wananchi, baadhi…

Yametimia vigogo Dar

*Wakabidhiwa Takukuru kwa mahojiano  *JAMHURI yadhihirisha umahiri wake licha ya Mkurugenzi wa Jiji kutishia  kulishitaki kwa kuandika habari hiyo  DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hatimaye yametimia. Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuwasimamisha kazi vigogo…

Rais Mwinyi azitaka manispaa Zanzibar zitafute fedha

UNGUJA Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka manispaa kubadilika na kutofanya kazi kizamani na badala yake zitafute fedha kwa ajili ya miradi katika maeneo yao hasa ya mijini. Kauli…

Miaka minne ya kishindo shule za serikali

Wakati wa uongozi wa Awamu ya Kwanza chini ya Mwalimu Julius Nyerere, serikali ilijitahidi na kufanikiwa kujenga shule za msingi na sekondari kwa madhumuni ya kutoa elimu kwa vijana. Wakati huo hapakuwa na shule nyingi za binafsi kama ilivyo sasa….