JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Maoni ya Mhariri

Vyama vya ushirika vyatakiwa kuwa mkombozi kwa wakulima,wafugaji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega amevitaka Vyama vya Ushirika vya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi nchini kuwa msaada katika kuleta maendeleo na sio kushiriki kushusha maendeleo ya wadau wa sekta hizo. Naibu Waziri Ulega ameyasema hayo…

‘Tanzania ni tajiri wa urithi wa utamaduni’

Makumbusho ya Taifa la Tanzania inatarajia kuwa na programu maalum ya kimakumbusho yenye vionjo vya Kiswahili kama sehemu ya zao jipya la kivutio cha utalii wa utamaduni. Akizungumzia Programu hiyo ya Kimakumbusho itakayofanyika Agosti 6,2022, Kijiji Cha Makumbusho Jijini Dar…

Chongolo azitaka TAMISEMI,Wizara kumaliza haraka ujenzi wa stendi Moshi

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Daniel Chongolo ameziagiza Wizara ya Fedha na Wizara ya Tawala za mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI) kukutana kumaliza ujenzi wa stendi ya kisasa ya Ngangamfumini Manispaa ya Moshi. Chongolo ametoa agizo hilo jana…

Mpwapwa watakiwa kusimamia miradi

Na Mwandishi Wewtu,JamhuriMedia Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira, Dkt.Switbert Mkama, ametoa rai kwa wakazi wa Wilaya ya Mpwapwa kusimamia kikamilifu miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. Ametoa rai hiyo leo Agosti 2,2022, akiwa katika ziara…

Bajeti hii itekelezwe kikamilifu

Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/23 imesomwa wiki iliyopita bungeni jijini Dodoma na kwa sasa inajadiliwa kabla ya kupitishwa tayari kwa utekelezaji wake kuanzia Julai Mosi mwaka huu. Kwa kawaida, pamoja na ukweli kwamba kabla ya kusomwa…

Watanzania tuchangamkie fursa mradi wa gesi asilia

Rais Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini Makubaliano ya Awali ya Mkataba wa Nchi Hodhi (HGA) Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (LNG Project). Makubaliano hayo kati ya serikali na kampuni za Shell na Equinor yametiwa saini Juni 11,…