Category: Makala
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Kulalamika kunalowesha uchumi wetu
Naandika makala hii nikiwa nahudhuria kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Wiki zijazo nitawashirikisha fursa za kibiashara na kiuwekezaji zilizopo Nyanda za Juu Kusini (mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya).
Wajasiriamali na uchumi wa Afrika Mashariki
Leo ninapenda tuperuzi nafasi ya uelewa wetu sisi wajasiriamali na Watanzania kwa jumla, linapokuja suala la uchumi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Unapotaja Afrika Mashariki ni kwamba kuna mambo ya msingi yanayoushikilia uhusiano huu.
Pamoja na mambo mengine, nguzo kuu ya uwepo wa Jumuiya hii ni suala la uchumi. Ndiyo maana tunaongelea soko la pamoja, kuunganisha sarafu zetu, kusafiri kwa mitaji na rasilimali watu.
Puma yaihama Bandari Dar
Kampuni ya Mafuta ya Puma iko mbioni kuihama Bandari ya Dar es Salaam na kupitishia bidhaa zake katika Bandari ya Beira nchini Msumbiji.
Hatua hiyo ya Puma itazihusisha bidhaa za mafuta na vilainishi vinavyosafirishwa kwa ajili ya matumizi ya nchi za jirani.
Mtoa habari kutoka ndani ya kampuni hiyo aliieleza JAMHURI kwamba sababu ya kufanya hivyo ni kutokana na mfumo usioridhisha uliopo katika Bandari ya Dar es Salaam katika ulipaji gharama za kuhifadhi mizigo na kodi.
Killagane: Gesi imekomboa uchumi Tanzania
*Gesi ya 25,000/- itatosha kupikia hadi maharage miezi mitatu
*Dar es Salaam, Mtwara wanufaika, magari 50 yatumia gesi
Ugunduzi wa gesi asilia kwa wastani wa futi za ujazo trilioni 46.5 ni ukombozi wa wazi kwa uchumi wa Tanzania. Thamani halisi inayokisiwa kwa gesi hii ni karibu dola bilioni 500 za Marekani, kiwango ambacho ni mara 50 ya uchumi wa sasa. Kati ya gesi hii iliyogunduliwa Kijiji cha Msimbati, mkoani Mtwara, na maeneo mengine ya nchi, futi za ujazo trilioni 38.5 zipo katika kina kirefu cha maji na futi za ujazo trilioni 8 zipo nchi kavu. Kuna dalili za mafuta, ila hayajagunduliwa. Katika makala haya, JAMHURI imehojiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Yona Killagane, ambaye anaeleza mambo mengi ya msingi yenye kutia matumaini kuwa sasa neema iliyokuwa ikisubiriwa hatimaye imewasili Tanzania. Endelea…
- Londo: FCC yazidi kuwa mhimili wa biashara shindani na ulinzi wa mlaji nchini
- TBS yasisitiza ubora wa bidhaa kuwa chachu ya biashara na ulinzi wa mlaji
- EWURA Kanda ya kati yatoa wito kuhusu leseni za mafundi umeme maonesho ya Nanenane
- Vi Agroforestry yasema kilimo misitu ni suluhisho uhaba wa chakula
- Mashili ampongeza Rais Samia kwa mapinduzi ya huduma za afya, achangia mil.10.5/- Chuo cha Uuguzi Nzega
Habari mpya
- Londo: FCC yazidi kuwa mhimili wa biashara shindani na ulinzi wa mlaji nchini
- TBS yasisitiza ubora wa bidhaa kuwa chachu ya biashara na ulinzi wa mlaji
- EWURA Kanda ya kati yatoa wito kuhusu leseni za mafundi umeme maonesho ya Nanenane
- Vi Agroforestry yasema kilimo misitu ni suluhisho uhaba wa chakula
- Mashili ampongeza Rais Samia kwa mapinduzi ya huduma za afya, achangia mil.10.5/- Chuo cha Uuguzi Nzega
- Kikwete ataka nchi za Afrika kujiandaa na miundombinu kwa vijana
- JUBILEE Group Tanzania yazindua ukuta wa Shule ya Msingi Madenge kuimarisha usalama na mazingira ya kujifunzia
- Daraja la Bilioni 1.2/- kuondoa kero ya usafiri Kilosa
- DC Ubungo aipa tano JET, bado ina jukumu la kuelimisha jamii utunzaji mazingira
- Rais Samia azindua Tume ya Uchunguzi wa wahusika wa matuki ya Oktoba 29
- Wadau wakutana kujadili utekelezaji mkakati wa nishati safi ya kupikia
- TIRDO yaibua wabunifu wa Afro Heal, wachakata mimea ya asili kuwa dawa za kisasa
- Tanzania, Senegal zaimarisha ushirikiano wa sekta ya nishati
- Tanzania, Uganda zatia saini makubaliano ya kuiendeleza Tanga kuwa kitovu cha nishati cha kikanda
- Rais Samia afanya uteuzi, apangua
Copyright 2025