Latest Posts
Makamba awasili Algeria kushiriki mkutano wa 20 wa Mawaziri
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, amewasili nchini Algeria kushiriki Mkutano wa 20 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Afrika na Nordic ulioanza leo Oktoba 16 – 18 2023, Jijini Algiers,…
Rais wa Urusi awasili China kujadili vita ya Israel
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amewasili China kukutana na rafiki yake Rais Xi Jinping katika kuimarisha uhusiano wao na kujadili zaidi vita vya Israel na kundi la Palestina la Hamas, mtandao wa India Today umeeleza. China wiki hii inakaribisha wawakilishi…
Rais Samia : Singida haitashuka asilimia 97 upatikanaji wa umeme Desemba 2023
Shilingi Bilioni 72 kutekeleza miradi ya umeme mkoani humo Zuena Msuya na Mayloyce Mpombo, Singida Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo mwaka 2024 Mkoa wa Singida hautashuka asilimia 97 ya upatikanaji wa…
Majaliwa : FAO yaahidi kuiunga mkono Tanzania
*Ni katika mikakati yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya kilimo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania katika kukuza na kuendeleza sekta ya…
Mbeto : Miaka mitatu ya Rais Mwinyi imeandika historia mpya Z’bar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis, amesema kuwa miaka mitatu ya uongozi wa Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi, inaiweka Zanzibar katika orodha ya nchi za…
Anna: Mwanamke aliyejifunza ushonaji, kununua cherehani kwa ruzuku ya TASAF
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Itilima RUZUKU inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini imemwezesha, Anna Ang’obo Ngasha (45), kujifunza ushonaji nguo, kununua cherehani, kazi ambayo inamwezesha kujiingizia kipato cha kuendesha maisha yake. “Nimekuwa…