NYERERE 349

Sehemu ya 7 Kama shule iko kijijini (na katika shule mpya zitakazojengwa siku zijazo) itawezekana kwamba shamba la shule liwe karibu karibu na shuleyenyewe. Lakini katika miji na katika shule za zamani zilizo katika vijiji vyetu vyenye watu wengi, huendaisiwezekane kuwa hivyo. Katika hali hiyo shule inaweza kutilia mkazo kazi zingine zenye kuleta uchumi, au…

Read More

Elimu ya kujitegemea … (3)

Hotuba ya Baba wa Taifa aliyoitoa March, 1967 Twajaribu Kujenga Taifa la Namna Gani? Maana yake neno hili ni kwamba mipango ya elimu katika Tanzania haina budi kutilia mkazo juhudi ya pamoja siyo maendeleo ya mtu mmoja binafsi. Elimu haina budi kutiliwa mkazo mawazo ya usawa, na wajibu wa kuwahudumia wengine wakati mtu anao uwezo…

Read More

Nyerere – Demokrasia

“Wananchi wanapoonyesha makosa ya uamuzi wa kipumbavu wanatumia haki yao ya uraia. Wanaponung’unika kwa uamuzi ambao si wa kipumbavu wanaweza wakaelekezwa mpaka wakaelewa kwanini uamuzi ule ulifanyika, na faida zake ni nini.” Nukuu hii ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyochukuliwa katika ukurasa wa 128-129 katika kitabu cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu Nyerere aliyezaliwa mwaka…

Read More

MAENDELEO NI KAZI SEHEMU YA 7

Wiki iliyopita katika kitabu hiki cha Maendeleo ni kazi mwalimu alikuwa anazungumzia kuhusiana na sera ya Kuanzisha vijiji vya ujamaa na namna ya kuzingatia vipaumbele vya msingi katika kuwaletea maendeleo wananchi. Sehemu inayofuata ni mwendelezo wa pale tulipo ishia wiki iliyopita. Kwamba mahala pa kujenga maskani nyumbani, shule, viwanda, hospitali ni pale; kwa hiyo Mheshimiwa…

Read More

MAENDELEO NI KAZI SEHEMU YA SITA

Nimekwenda katika kijiji kimoja Iringa. Nadhani safari hiyo tulikuwa na Mheshimiwa Ng’wanamila – hii anayoimba anasifu mambo aliyojifunza Njombe na Iringa. Tumekwenda katika Kijiji kimoja cha Iringa- ni kijiji cha Waziri wa Kilimo, Joseph Mungai. Akanipeleka Joseph pale au tuseme, tumekutana pale na Joseph. Sasa, wamenionyesha shughuli zao nzuri sana. Halafu baada ya hapo, wananipeleka…

Read More