Kucheleweshwa mbolea kulivyoathiri mazao

Wakati Rais John Magufuli akisisitiza mara kadhaa kwamba serikali haitatoa chakula cha msaada kwa watakaokabiliwa na njaa, mikoa ya Nyanda za Juu Kusini mazao yameharibika kutokana na mbolea za kukuzia kutofika kwa wakati kwa wakulima. Rais Magufuli aliendelea kusisitiza kuwa serikali haitatoa chakula cha msaada kwa watakaopatwa na njaa ilhali wanaweza kuzalisha chakula katika maeneo yao….

Read More

Ndugu Rais karibu mezani

Ndugu Rais, Bwana Yesu alipoona saa yake imekaribia aliwaambia wanafunzi wake waandae meza apate kula nao chakula cha mwisho. Angeweza kuwaaga kwa namna nyingine yoyote, lakini aliandaa meza. Namshukuru Mungu kuniwezesha kuingia katika chumba ilipoandaliwa meza kwa ajili ya chakula cha mwisho. Mwenyezi Mungu ambariki yeye na nyumba yake mwanamwema yule aliyeniwezesha kuikanyaga ardhi ya…

Read More

Hauwezi kumfuga mbwa ukamkataza kubweka

Unapomfuga mbwa lazima atabweka tu, kwa sababu kubweka ni moja ya sehemu ya makuzi yake. Mimi ni mbwa niliyefugwa na taifa hili, ni lazima nibweke, siasa si uadui, isipokuwa hoja. Siasa ni sehemu ya maisha ya binadamu. Mwanafalsafa Hegel anasema: “Binadamu ni mnyama wa kisiasa.” Hizi siasa za kushambuliana kwa mapanga na risasi ni siasa zinazopandikiza…

Read More

MAISHA NI MTIHANI (2)

Kutawala ulimi ni mtihani. Unapofungua mdomo kuzungumza ni kama unawafungulia watu albamu ya maisha yako, nao huo ni mtihani. Wataalamu wa mawasiliano wanatwambia kuwa mtu wa kawaida kwa wastani kwa siku anaweza kusema maneno ambayo yatajaa kurasa 20 zenye nafasi ya mstari mmoja. Ina maana kuwa midomo yetu yaweza kutoa maneno ya  kujaza vitabu viwili vya…

Read More

Nchi haiwezi kuendelea kwa kupangiana muda wa kulala

Napongeza uamuzi wa kutazamwa upya msimamo wa safari za usiku kwa magari, hasa mabasi. Uamuzi wa kuzuia mabasi kusafirisha abiria usiku ulitolewa wakati wa uongozi wa Serikali ya Awamu ya Pili kama suluhisho la ajali za mabasi kwa nyakati hizo. Aliyetangaza uamuzi huo ni Waziri Mkuu wa wakati huo, mzee John Malecela. Ukiacha sababu ya…

Read More

Jinsi ya kuwa na fikra kubwa (2)

Jiweke karibu na vitu vinavyoongeza uwezo wa kufikiri. Ukitaka kuongeza fikra zako lazima utumie vitu vinavyokuingizia fikra kichwani kwako. Lazima uongeze maarifa. Na njia pekee ya kuongeza maarifa na ufahamu ni kujifunza kila siku. Soma vitabu, soma makala mbalimbali, soma magazeti yenye mafunzo na taarifa sahihi (siyo ya udaku), tazama video za youtube zinazofundisha na…

Read More