Watanzania tusiwe kama Thomaso

Desemba 9, 2018 imeangukia siku ya Dominika, ni siku ya Bwana, sisi Watanganyika tumefanya kumbukumbu ya mwaka wa 57 wa Uhuru wa taifa letu. Ni fahari kubwa sana kwa sisi sote kukumbuka Desemba 9, mwaka ule wa 1961 tuliojikomboa kutoka mikononi mwa wakoloni Waingereza. Kwa wazee kama Mhesheshimiwa Balozi Job Lusinde kule Dodoma, nafikiri inakuwa…

Read More

Namna ya kuishinda hasira yako (2)

Hasira hupunguza furaha katika maisha Hasira iko tofauti na upendo, hasira iko tofauti na furaha, hasira iko tofauti na msamaha. Hasira iko tofauti na huruma, hasira iko tofauti na amani. Ndugu wa hasira anajulikana, ndugu huyo ni hasara. Kila mmoja anaifahamu hasira, kila mmoja anafahamu ule msemo wa ‘Hasira ni hasara’. Katika ndoa unaweza kuitwa baba…

Read More

Wanyama wanamalizwa Loliondo

Hadi naandika makala hii, mizogo ya tembo wanane imeonekana katika Kijiji cha Maaloni, Arash, Ngorongoro mkoani Arusha. Miezi miwili, katika Kitongoji cha Karkamoru, Loliondo pekee twiga wanane wameuawa. Watuhumiwa wa ujangili wamekwisha kukamatwa, japo kuna taarifa kuwa wahusika wenyewe bado wamo mitaani. Mauaji hayo ya twiga ni tofauti na haya ya tembo. Tembo wanakufa kwa…

Read More

MAISHA NI MTIHANI (7)

Ujana ni mtihani. Ujana ni kama mtindo unapita haraka. Ujana ni moshi, ukienda haurudi. Hakuna mzee yeyote ambaye ana utajiri wa kununua tena siku zake za ujana. Kipindi cha ujana ni kimoja, ingawa baadhi ya wazee wanaitwa vijana wa zamani. Umri wa uzeeni unategemea ujana. Umri wa kati unategemea ujana. Ukweli huu unabainishwa na methali…

Read More

Hali zinabadilika, mabadiliko ni muhimu

Desemba 13, mwaka huu itatimia miaka 27 tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliposema: “Hali zinabadilika. Tuendelee na chama kimoja cha siasa ama tuwe na vyama vingi vya siasa.” Maelezo haya aliyatamka Desemba 13, mwaka 1991 alipozungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, alipotoa maoni na msimamo wake wa kutaka tubadilike kufuatana na…

Read More

Yah: Tuna vituko hadi kichekesho

Uswahili ni uungwana na hata kama jana tumeonana si vibaya leo tukajuliana hali na salamu, ukizingatia maisha ni mafupi na mtu husafiri na kifo chake, hii si busara kujua unahitaji kuangalia uzao wako na sasa mmebaki wangapi mtaani au kijijini kwenu. Usiangalie wamezaliwa wangapi, angalia mliozaliwa wote, mkacheza wote na mkasoma wote, wako wapi sasa,…

Read More