Year: 2018
HUJUMA ZIEPUKWE KAMPENI ZA KINONDONI, SIHA
Moja ya kauli za Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, baada ya Mahakama ya Juu nchini humo kutengua ushindi wake wa awali Agosti mwaka jana, aliwahimiza Wakenya kuwa wamoja. Rais Kenyatta akasema raia wa taifa hilo lililokabiliwa na machafuko ya baada ya…
ONGEZEKO LA UFAULU DARASA LA SABA LABEBA WASIOJUA KUSOMA, KUANDIKA
Na Alex Kazenga MVOMERO Wakati matokeo ya darasa la saba kwa mwaka jana nchini yakionesha ufaulu kuongezeka kwa asilimia 72.76 ikilinganishwa na 70.36 ya mwaka 2016, kubainika kwa waliofaulu bila kujua kusoma wala kuandika. Uwepo wa hali hiyo, ya watoto…
MAWAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO WA TANZANIA NA RWANDA WAKUTANA KUJADILI MRADI WA UJENZI WA RELI YA ISAKA- KIGALI
Waziri wa Fedha na Mipango ya Uchumi wa Rwanda Mhe. Gatete Claver akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika Ofisi ya Waziri wa Fedha na Mipango Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Mkutano kuhusu upatikanaji wa Fedha za mradi wa…
Haya Hapa Magazeti ya Leo Januari 30, 2018
Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Junne Januari,30, 2018 nimekuekea hapa
YANGA KUKWEA PIPA ALFAJIRI KESHO KUWAHI MECHI SAA 10 JIONI
KIKOSI cha Yanga kesho kinatarajia kukwea pipa alfajiri na mapema ili kuwahi mechi yao dhidi ya Ihefu ikiwa ni mchezo wa kombe la Azam Sports HD utakaopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya majira ya saa 10 jioni siku…
UFAFANUZI WA KUKAMATWA KWA GARI YA MSTAHIKI MEYA WA JIJI LA DAR ES SALAAM
Ndugu waandishi wa habari. Napenda kutumia fursa hii kuwapa pole wananchi wa jiji la Dar es Salaam kutokana na taarifa ambazo zimeripotiwa leo kwenye baadhi ya magazeti. Jumamosi ya Tarehe 27 Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya…