Month: January 2019
Jiji lanyang’anywa maegesho
Serikali imemkabidhi Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mkoa wa Dar es Salaam jukumu la kukusanya mapato ya maegesho ya magari kuanzia Februari mwaka huu. Mratibu wa TARURA Mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi George Tarimo, ameliambia Gazeti…
Hatimaye kigogo CCM apewa uraia
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, Samwel Kiboye (Nambatatu), ameomba na kupewa uraia, JAMHURI linathibitisha. Kiboye ambaye anajulikana pia kwa jina la Jared Samweli Kiboye, amepewa uraia wa Tanzania mwaka jana baada ya kubainika kuwa alikuwa Mkenya….
Wazanzibari kutibiwa bure
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema serikali hiyo imekusudia kuendelea kutoa matibabu bure kwa wakazi wote wa Unguja na Pemba. Amesema mafanikio hayo yanatokana na juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar…
‘Manabii’ wa kangomba wasakwe, waadhibiwe
Mwangwi wa kilio cha wakulima wa korosho unazidi kusikika pande zote za nchi. Idadi kubwa ya wanafunzi wamekwama kwenda shuleni. Wale waliofaulu darasa la saba wameshindwa kuripoti shule za sekondari kwa ukosefu wa nguo na vifaa vya masomo. Hata wale…
Nina ndoto (2)
Ukiona ndoto yako haiwatishi watu, jua kwamba ni ya kawaida sana. Ndoto ya kwanza ya Yusufu iliwatisha ndugu zake. Ndoto yake ya pili si kwamba iliwatisha ndugu zake tu, bali ilimtisha hadi baba yake, Yakobo. Tunaambiwa siku moja ndugu zake…
Historia ya kusisimua ya binadamu Olduvai
Kufikia miaka milioni 1.5 iliyopita kulikuwa na ongezeko kubwa la tabia ya kuua wanyama wakubwa kama inavyoonekana kwenye maeneo mbalimbali ya malikale. Hali kama hii inaonekana pia katika maeneo mbalimbali ya Bonde la Olduvai. Uuaji wa tembo, twiga, viboko, faru…