JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2019

Uzembe wa Serikali wapoteza bil. 1.3/-

Uzembe wa serikali kushindwa kutangaza kwenye gazeti lake makubaliano na kampuni ya kigeni kuhusu msamaha wa kodi uliotolewa kwa kampuni hiyo umezua mzozo wa kodi inayozidi Sh bilioni 1.3. Mzozo huo unatokana na hatua ya serikali kuipa taasisi hiyo msamaha…

Kama CCM wametangaza ushindi, uchaguzi wa nini?

Msifikiri Watanzania ni wajinga au hawana akili. Mpango wa kuwaengua wagombea wa vyama vya upinzani haukuwa utashi wa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 24, 2019.  Wenye akili wanajua kwamba ulikuwa mpango mahususi…

Wapinzani sasa wataka Jafo ajiuzulu

Sakata la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 24, mwaka huu limechukua sura mpya baada ya wapinzani kumtaka Waziri wa Tamisemi, Selemen Jafo, kujiuzulu kutokana na ofisi yake kuvuga uchaguzi huo. Kuondolewa kwa zaidi ya asilimia 90 ya…

Mifuko mbadala isiyokuwa na ubora yaingizwa nchini

Wazalishaji wakubwa wa mifuko mbadala mkoani Kilimanjaro wameingiwa hofu ya kushindwa kufanya biashara yenye ushindani kutokana na wimbi kubwa la shehena ya mifuko hiyo isiyokuwa na ubora kuingizwa nchini kwa kasi kupitia njia za magendo na kuingizwa sokoni bila kulipiwa…

Matumizi simu miezi 6 yazidi Sh trilioni 2.5

Matumizi ya simu, hasa za mikononi kwa ajili ya mawasiliano yamezidi kuimarika huku kampuni zinazotoa huduma hiyo nchini zikitengeneza fedha nyingi na kuifanya biashara hiyo kuwa miongoni mwa zile zenye faida kubwa nchini. Takwimu rasmi zinaonyesha kuwa katika kipindi cha…

Tanzania kinara wa kupambana na umaskini duniani

Tanzania inaongoza miongoni mwa nchi 15 duniani ambazo zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa kupunguza idadi ya watu wanaoishi kwenye umaskini wa kupindukia. Hayo yamebainishwa na Benki ya Dunia ambayo inasema kuwa Tanzania imeibuka kidedea baada ya kuwa na matokeo mazuri kati…