UNYANYASAJI WA URAIA…  Kwa hiari ninaikabidhi Serikali silaha yangu

NGARA NA MUSHENGEZI NYAMBELE Kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua mgombea urais mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alisimulia kilichomtokea New York, Marekani mwaka 1994. Alikaribishwa na Getrude Mongela (wakati huo Katibu wa Mkutano wa kina mama wa Beijing) kushiriki chakula cha jioni.  Mwalikwa mwingine, mama wa Kiganda, alimchokoza Mwalimu kwa kumweleza kuwa…

Read More

Mnyeti kama Sabaya

*Alalamikiwa Tume ya Haki za Binadamu *Adaiwa kujiundia tume kinyume cha sheria *Mwenyewe ajitetea kwa kumwaga matusi DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, analalamikiwa na mfanyabiashara, Dk. Hamis Kibola, katika Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora. Anamlalamikia kwa kumbambikia kesi na kumharibia biashara zake, akihusisha…

Read More

Amchinja mkewe baada ya kukataliwa

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mgongano wa kimasilahi na kufilisika kwa mume ni miongoni mwa sababu zinazodaiwa kusababisha kifo cha mkazi wa Vigoa, Chamazi, Mwajabu Bakari. Mwajabu amefariki dunia kwa kuchinjwa na aliyekuwa mume wake, Naibu Ramadhani. Akizungumza na JAMHURI, mkazi wa mtaani hapo ambaye ni mwanasheria mstaafu, Silivanus Banigwa, anasema amefanya uchunguzi na…

Read More

‘ROMARIO’  Mwanamuziki mwenye vituko jukwaani

TABORA Na Moshy Kiyungi Unapoingia ukumbini kusakata muziki wa bendi ya Msondo Ngoma Classic, hakika utalazimika kushikilia mbavu zako utakaposhuhudia vituko, mbwembwe na vimbwanga vya mpuliza tarumbeta, Roman Mng’ande ‘Romario’. Takriban kila onyesho la bendi hiyo yeye hufanya utundu wa kuwachekesha wapenzi ama kwa ‘kurap’ huku akiwa ameliacha wazi tumbo lake nene au kwa kuvuta…

Read More