JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2021

Dk. Mpango alikoroga

*Atoa maagizo nje ya mipaka ya Makamu wa Rais kikatiba *Wataalamu wasema kisheria hapaswi kusimamisha kazi watendaji *Warejea tamko la trilioni 2, wataka amheshimu Rais Samia *Wamtahadharisha asitoe matamko ya kiserikali akiwa kanisani Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Makamu…

UNYANYASAJI WA URAIA…  Kwa hiari ninaikabidhi Serikali silaha yangu

NGARA NA MUSHENGEZI NYAMBELE Kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua mgombea urais mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alisimulia kilichomtokea New York, Marekani mwaka 1994. Alikaribishwa na Getrude Mongela (wakati huo Katibu wa Mkutano wa kina mama wa…

Mnyeti kama Sabaya

*Alalamikiwa Tume ya Haki za Binadamu *Adaiwa kujiundia tume kinyume cha sheria *Mwenyewe ajitetea kwa kumwaga matusi DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, analalamikiwa na mfanyabiashara, Dk. Hamis Kibola, katika Tume ya…

Kigoma kuna nini?

KIGOMA Na Mwandishi Wetu Kigoma kuna nini? Hii ni kaulimbiu yenye swali iliyotumika miaka ya 1980 wakati sherehe za Sabasaba zilipofanyika kitaifa mkoani Kigoma. Safari hii imejirudia lakini kwa aina tofauti na sasa ni mashabiki wa Yanga ndio wanaojiuliza Kigoma…

Amchinja mkewe baada ya kukataliwa

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mgongano wa kimasilahi na kufilisika kwa mume ni miongoni mwa sababu zinazodaiwa kusababisha kifo cha mkazi wa Vigoa, Chamazi, Mwajabu Bakari. Mwajabu amefariki dunia kwa kuchinjwa na aliyekuwa mume wake, Naibu Ramadhani. Akizungumza na…

‘ROMARIO’  Mwanamuziki mwenye vituko jukwaani

TABORA Na Moshy Kiyungi Unapoingia ukumbini kusakata muziki wa bendi ya Msondo Ngoma Classic, hakika utalazimika kushikilia mbavu zako utakaposhuhudia vituko, mbwembwe na vimbwanga vya mpuliza tarumbeta, Roman Mng’ande ‘Romario’. Takriban kila onyesho la bendi hiyo yeye hufanya utundu wa…