Mamluki wa CCM wakaliwa kooni

*Mtandao wa kumpinga Rais Samia ‘wafukiziwa moshi’ *Waahirisha vikao vya kupinga chanjo, waanza kuogopana *Askofu Gwajima atwishwa msalaba, Rais Samia aonya 2025 *Katibu Mkuu asema hakuna mkubwa kuliko chama, watajuta Na Mwandishi Wetu, Dodoma Baada ya kuchapisha habari za uwepo wa mtandao uliojengwa na Rais John Magufuli bila kujua akidhani anakijenga Chama Cha Mapinduzi (CCM-…

Read More

Virusi vingine hatari hivi hapa

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Wakati dunia ikiendelea na mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID – 19 unaosababishwa na virusi vya corona; virusi vinavyotambulika kama ‘Human Papilloma’ (HPV) vinatajwa kuwa ni hatari kwa binadamu. Mkurugenzi wa Huduma za Kinga wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), Dk. Crispin Kahesa, ameliambia JAMHURI kwamba virusi…

Read More

‘Ajali za kutisha barabarani zimedhibitiwa’

DAR ES SALAAM Na Alex Kazenga Matukio ya ajali za barabarani yakihusisha magari, pikipiki, Bajaj, baiskeli, guta na watembea kwa miguu yamepungua kwa kiwango kikubwa nchini. Akizungumza na JAMHURI katika mahojiano maalumu, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Wilbroad Mutafungwa, anasema: “Ajali zinatokea kila siku lakini mpaka sasa tumefanikiwa…

Read More

Mwakabibi, urais 2025 CCM

Na Deodatus Balile Ndugu msomaji ninakushukuru kwa mrejesho mkubwa ulionipa wiki iliyopita. Sitairejea makala ya wiki iliyopita, ila leo nitazungumzia kwa uchache kilichomtokea aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi. Mwakabibi na mwenzake wamepandishwa kizimbani kwa kesi ya uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka. Sitanii, nilipata kuandika hapa kuwa “Ya Sabaya, tuandike majina…

Read More