Month: November 2022
Mauaji ya watu 12 Lindi yasababisha hofu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Lindi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata mara moja wafugaji waliohusika katika mauaji ya watu 12 Mkoani Lindi. Masauni ametoa kauli hiyo akiwa ameambatana na Waziri wa Mifugo…
Mtatiro alia na ghughuli za kibinadamu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tunduru Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Julius Mtatiro amesema,ni muhimu suala la upandaji miti katika wilaya hiyo liwe endelevu na jambo la mara kwa mara ili kusaidia uhifadhi wa mazingira. Mtatiro amesema hayo,baada ya kuongoza zoezi…