JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

Rais Samia awapa maagizo Vyuo vikuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Vyuo Vikuu kupitia mitaala yake ili ijikite katika kutoa elimu ambayo inakidhi mahitaji ya jamii. Rais Samia ametoa wito huo leo mara baada ya kutunukiwa Shahada…

Idadi ya wagonjwa yaongezeka Mlongazila

Idadi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma ya matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imeongezeka kutoka 10854 kufikia 11188 kwa wagonjwa wa nje wakati wagonjwa wanaolazwa 793 hadi 1052 katika kipindi cha miezi miwili kuanzia Septemba hadi Novemba mwaka huu….

Tanzania Prison yawekewa Milioni 20 mezani kuiua Yanga

Na Mwandishi Wetu Wadhamini wa ‘wajelajela’ Tanzania Prisons ya Mbeya, Silent Ocean, wametoa ahadi ya milioni 20 kwa wachezaji wa timu hiyo ikiwa watafanikiwa kupata ushindi dhidi ya Yanga SC katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara siku ya Jumapili…

Rais Samia atunukiwa udaktari wa heshima UDSM

Na Wilson Malima Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya juu heshima ya udaktari katika fasihi ‘Doctor of Letters. Honoris Causa ‘ ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mahafali ya 52 duru…

Henderson awasikitikia Salah, Sadio Mane kutokushiriki kombe la Dunia

Nahodha wa Liverpool na mchezaji wa timu ya taifa ya Uingereza, Jordan Henderson, ameeleza masikitiko yake kwa Sadio Mane na Mohamed Salah baada ya wachezaji hao kushindwa kushiriki Michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea huko nchini Qatar.  Mohamed Salah ameshindwa…