JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2022

Hakuna kama Morocco

Hakika hakuna kama Morocco kwa Afrika wala kwa nchi zote za kiarabu baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia mwaka 2022 huko nchini Qatar.  Morocco ndio nchi ya kwanza toka Afrika kutinga katika hatua ya…

Simba wanapompuuza mbaniani mbaya wakati hawana malaika

Simba haina tatizo ila imezungukwa na watu wenye matatizo wasiotaka mabadiliko. Ukiona taasisi inakubali kupoteza wasomi wake kirahisi ujue kuna watu hawataki klabu ipige hatua. Simba inarudi nyuma badala ya kwenda mbele.  Baniani mbaya kiatu chake dawa. Yawezekana Mo Dewji…

Morocco shujaa wa Afrika

Timu ya Taifa ya Morocco imeandika historia katika Bara la Afrika kwa kuiondosha Portugal ya Cristiano Ronaldo bao 1-0 na kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. Shujaa wa Morocco ni Youssef En-Nesyri dakika ya…

FCC yawaomba wafanyabiashara kuzingatia ubora kwenye bidhaa zao

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Tume ya Ushindani ( FCC), imetoa wito kwa Wazalishaji wa bidhaa hapa nchini kuhakikisha bidhaa zao wanazifanya ziwe na mwonekano mzuri ili kuwavutia wateja pamoja na kukabiliana na ushindani wa soko uliopo kwa sasa. Rai hiyo imetolewa…