JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2022

Mradi wa shule bora kuleta matokeo chanya katika sekta ya elimu nchini

Na Mwamvua Mwinyi,Pwani Waandishi wa habari wameaswa kutumia nguvu ya kalamu zao kuandika taarifa za mradi wa Shule Bora ,mpango ambao unalenga kuweka mikakati na kutafuta suluhisho kwa watoto wa makundi maalum ,wakike na wale wa kiume wanapata elimu iliyo…

Kocha wa Namungo na Taifa Stars atua kwa ‘Wakata Umeme’ wa Zambia

Kocha mzambia, Honour Janza (62), amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuwatumikia Zesco United ‘wakata umeme’ ya Zambia kama Mkurugenzi wa ufundi wa klabu hiyo inayomilikiwa na Shirika la Imeme la Zambia.  Janza alikuwa kocha wa Namungo FC ya Lindi…

Kenya yapiga marufuku wazazi kuwapeleka watoto shule za msingi za bweni

Kenya imetangaza kuwa kuanzia mwaka ujao hakutakuwa na shule ya bweni kwa watoto wa shule za msingi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto wao shuleni asubuhi. Hii ni kwa ajili ya kutaka watoto wawe karibu sana na wazazi wao kwa suala…

Rais Samia ang’ara kwa kupata kura 1914

Mweyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan amepata kura 1914 huku akipata kura moja ya hapana. Kwa Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania bara, Abdulrahman Kinana amepata kura 1,913 na mbili za hapana huku Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar, Dk.Hussein Ali Mwinyi…

Mkurugenzi Karagwe amshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa,hospitali

Na David John,JamhuriMedia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmadhauri ya Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera Michael Nzyungu amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwenye halmashauri hiyo kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule mbalimbali za…