JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2022

Ni muhimu kuelewa haya kuhusu vita ya Ukraine

Na Nizar K Visram Vyombo vya habari vya kimataifa hivi karibuni vimetawaliwa na vita ya Ukraine. Mengi yanasemwa na mengine hayasemwi. Bila shaka wengi wetu watataka kujua nini kinachoendelea na chimbuko lake. Ndiyo maana ni muhimu kujua pia kile kisichosemwa…

Urusi Vs Ukraine

*Ni pambano la ‘Daudi na Goliati’ uwanjani *Urusi ina kila kitu, makombora mazito, ndege *Marekani, Uingereza zaitosa Ukraine kijeshi *Putin aandaa matumizi ya zana za nyuklia Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Hali inazidi kuwa tete nchini Ukraine na wananchi…

Lugumi kubadili sheria ya mnada

Na Shaban Matutu, Dar es Salaam Hatua ya kukwama kuuzwa mara tatu kwa nyumba mbili za mfanyabiashara, Said Lugumi, imeifanya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufikiria kuboresha sheria ili zitoe mwongozo kwa mali zilizokosa mteja mnadani. Sababu ya kufikiria hilo…

Polisi wadaiwa kushiriki dhuluma

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Polisi kadhaa wanalalamikiwa kuwa wanashirikiana na mtandao wa biashara ya magari kufanya dhuluma. Mkazi mmoja wa Dar es Salaam, Michael Onduru, amekumbwa na kadhia hiyo. Analalamika kuwa licha ya kuwapo vielelezo vya namna alivyonunua…

Nimejifunza, Ukraine – Urusi taarifa zina utata

Na Deodatus Balile Tangu Urusi ianze mashambulizi dhidi ya taifa la Ukraine, nimekuwa na ufuatiliaji wa karibu wa mashirika mbalimbali ya habari ya kimataifa. Kuna jambo gumu nimejifunza. Nimekuwa nikilisikia hili nililojifunza, ila sasa nimejifunza kwa njia ngumu. Sitanii, miaka…

Vita ya Urusi dhidi ya Ukraine na ukweli kuhusu NATO

DAR ES SALAAM Na Abbas Mwalimu Urusi inatekeleza kile alichokiita Rais wake, Vladimir Putin, ‘Operesheni Maalumu’ nchini Ukraine aliyoitangaza Februari 24, mwaka huu. Wakati huu Urusi ikielekea Kyiv ambao ni Mji Mkuu wa Ukraine, Rais wake, Volodymyr Zelensky, ameuomba Muungano…