JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2022

Mjadala matumizi ya ‘cable cars’ kufanyika mwezi ujao

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, amesema wanatarajia kufanya mjadala wa matumizi ya magari ya umeme yanayopita kwenye nyaya (cable cars) kwa ajili ya kuwapandisha watalii katika Mlima Kilimanjaro. Kauli ya Ndumbaro…

Dk. Ndumbaro: Bila dhamana  ya benki hakuna kitalu 

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, ameagiza waombaji na washindi wa mnada wa vitalu vya uwindaji wa kitalii kuhakikisha wana dhamana ya benki kabla ya kukabidhiwa vitalu. Dk. Ndumbaro ametoa maagizo hayo…

Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (3)

Dar es Salaam                                                                           …

Waarabu walipotuonyesha walipo

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu  Wafaransa wanatamka ‘La Norme’. Wareno wanatamka ‘Pradao’. Wahispania wanatamka ‘El standard’. Sisi Waswahili tunatamka ‘Kiwango’. Ndiyo ni kiwango! Mataifa ya Afrika Mashariki ambayo wakazi wake wengi ni wenye asili ya Kiarabu, ni mataifa makubwa…

Jane: Harmonize ni mtoto wa Mungu

Dar es Salaam Na Christopher Msekena Omoyo ni miongoni mwa kadhaa nchini ambazo tangu kuwekwa kwake hadharani hazijawahi kuchuja.  Wimbo huo uliotoka zaidi ya miaka 10 iliyopita umeendelea kuwa burudani na baraka kwa mamilioni ya watu kwenye maeneo ya starehe,…

Tuunganishe nguvu kuinua utalii nchini

Kwa miaka mingi sasa sekta ya utalii nchini imekuwa ikitoa mchango mkubwa katika kuingiza pato la taifa, ambapo kabla ya dunia kukumbwa na janga la corona ilikuwa ikichangia asilimia 17.2. Mchango wa sekta ya utalii hauishii katika pato la taifa…