JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2022

Tujiandae kwa kumbukumbu za Nyerere, Karume

Waasisi wa taifa la Tanzania, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, mwaka huu watafanyiwa kumbukumbu mbili tofauti; lakini zote zikiwa na umuhimu mkubwa. Kumbukumbu hizi zitafanyika kwa kufuatana; Aprili mwaka huu, ambapo kwa Sheikh…

Watoto wa mitaani kujengewa hosteli

ARUSHA Na Hyasinti Mchau Jiji la Arusha limo katika mkakati wa kukabiliana na tatizo la watoto wa mitaani kwa kujenga hosteli maalumu kwa ajili yao. Akizungumza wakati wa hafla ya kupokea eneo linalotarajiwa kutumika kwa ujenzi wa hosteli ‘maalumu’, Meya…

Shamte azungumzia kifo cha Karume 

Zanzibar Na Mwandishi Wetu Wakati taifa likijiandaa kwa kumbukumbu ya miaka 50 ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Mzee  Abeid Amani Karume, mwanasiasa mkongwe, Baraka Mohamed Shamte, amesema waliopanga njama za mauaji ni vigogo wa Umma Party. Anasema…

Namna ya kuzungumza mtoto akusikilize, aongee

ARUSHA Na Dk. Pascal Kang’iria  Tangu zamani jamii duniani imekuwa ikipitia maisha ya kila namna – yenye uzuri na ubaya ndani yake. Vizazi kadhaa vimepita vikirithishana tamaduni mbalimbali. Sehemu kubwa ya kufanya utamaduni kuwa makini na wenye tija, ni kupitia…

Kilichowaponza Ndugai,  Kabudi, mawaziri watano 

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Swali la msingi wanalojiuliza Watanzania wengi ni nini hasa kilichowaponza Job Ndugai, Profesa Palamagamba Kabudi, William Lukuvi, Geoffrey Mwambe, Profesa Shukrani Manya na Mwita Waitara?  Wanajiuliza wakubwa hawa walikuwa wamesukaje mkakati ambao hapana shaka…

Afya ya Rais Sambi yadhoofu

#Anyimwa chanjo UVIKO-19, wananchi walalamika # Miaka 3 na nusu amefungiwa chumbani kizuizini #Aililia Tanzania, jumuiya ya kimataifa wamsaidie NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Afya ya aliyekuwa Rais wa Muungano wa Visiwa vya Comoro, Ahmed Abdallah Mohamed Sambi, anayeteswa…