Year: 2022
Watuhumiwa wa ukeketaji mbaroni
Na Abel Paul,JamhuriMedia wa Jeshi la Polisi Watuhumiwa wa vitendo vya ukatili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa mara wilaya ya Tarime kwa makosa ya kufanya ukeketaji na tohara kwa Watoto wa kike amabapo ni kinyume na sheria za…
‘Maambukizi ya UKIMWI Ruvuma yapo juu’
Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma MKOA wa Ruvuma kwa mwaka 2022 unakadiriwa kuwa na zaidi ya watu 63,088 wanaoshi na Virusi vya UKIMWI.Haya yamesemwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt.Lous Chomboko wakati anatoa taarifa kuhusu ugonjwa wa UKIMWI kwenye…
‘Kila mwezi PSSSF inaingiza kwenye mzunguko zaidi ya sh. bilioni 180’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) tayari umewalipa wanachama 750 waliokumbwa na sakata la vyeti “feki”, baada ya kuwasilisha madai yao na nyaraka stahiki. Akizungumza wakati wa kikao kazi na wanachama wapatao 60…
Ndege ya ATCL yashikiliwa Uholanzi
Serikali imekiri kushilikiwa kwa ndege Airbus A220 tangu Januari kwenye kiwanja cha ndege cha Maastricht Aachen nchini Uholanzi. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Eliezer Feleshi amesema kuwa ndege inashikiliwa baada ya mwekezaji wa Kiswidi kushinda tuzo ya dola za kimarekani…
TRA yaibuka mshindi wa jumla tuzo za NBAA
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeshinda tuzo mbili ikiwemo mshindi wa jumla katika uandaaji bora wa taarifa za hesabu mwaka 2021 kwa kufuata viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu katika Taasisi za Umma yaani mfumo wa…