JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2023

Kanisa Katoliki Geita lafungwa kufuatia tukio la kufuru na unajisi

Kwa masikitiko makubwa na tumaini kubwa kwa Mungu, napenda kuwataarifu kwamba, huduma zote za ki-ibada na ki-Sakramenti katika Kanisa Kuu la Kiaskofu la Jimbo Katoliki la Geita zamesitishwa kuanzia leo tarehe 27 ya Mwezi Februari ya Mwaka wa Bwana 2023….

Madiwani Bagamoyo wapiga marufuku wananchi kulipia gari la wagonjwa kwa 85,000/-

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Baraza la Madiwani Halmashauri ya Bagamoyo,mkoani Pwani limepiga marufuku ongezeko la malipo ya gari la wagonjwa kwa wateja wanaopata rufaa hospital ya Wilaya ya Bagamoyo kwenda Hospital ya Muhimbili ama Muhas -Mloganzila kwa gharama ya sh.85,000 badala…

DKT. Nchemba ateta na mabalozi wa Canada na Japan

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wawili, Balozi wa Canada na Japan kwa nyakati tofauti ambapo walizungumzia ushirikiano kati ya nchi hizo katika sekta mbalimbali za uzalishaji ikiwemo sekta ya kilimo,…