Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
November 26, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia apokea Hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi hapa nchini Chamwino Dodoma
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia apokea Hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi hapa nchini Chamwino Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ufaransa hapa nchini Mhe. Anne-Sophie Avé kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Barbados hapa nchini mwenye makazi yake Nairobi nchini Kenya Mhe. William Alexander McDonald kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Mhe. Ahn Enju kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ethiopia hapa nchini Mhe. Fekadu Beyene Ayana kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Switzerland hapa nchini Mhe. Nicole Providoli kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Somalia hapa nchini Mhe. Ilyasa Ali Hassan kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Australia hapa nchini mwenye makazi yake Nairobi nchini Kenya Mhe. Jenny Isabella Da Rin Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Niger hapa nchini mwenye makazi yake Addis Ababa nchini Ethiopia Mhe. Amadou Hassane Mai Daboua kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Post Views:
305
Previous Post
Balozi Nchimbi awasili kufunga kampeni za Serikali za Mitaa Dar es Salaam
Next Post
Yanga wakandwa na aL Hilal kwa Mkapa
Ramadhan Makala akamatwa kwa tuhuma za kusafirisha bangi gunia 13
Taasisi ya Revive kutoa matibabu ya Physiotherapy bure Septemba 6 na 7 Bure
EACOP, BBN wafadhili Mafunzo ya Ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani
Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na TRC, LATRA
Putin: Niko tayari kukutana na Zelensky mjini Moscow
Habari mpya
Ramadhan Makala akamatwa kwa tuhuma za kusafirisha bangi gunia 13
Taasisi ya Revive kutoa matibabu ya Physiotherapy bure Septemba 6 na 7 Bure
EACOP, BBN wafadhili Mafunzo ya Ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani
Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na TRC, LATRA
Putin: Niko tayari kukutana na Zelensky mjini Moscow
Trump: Marekani huenda ikafuta makubaliano na Ulaya
RPC Morcase awataka waandishi wa habari kuzingatia miiko na maadili
Kongamano la Mahakama ya Afrika latoa muelekeo mpya kuhusu haki za wanawake, wasichana
Sergio Ramos aachia wimbo wake wa kwanza ‘Cibeles’
Wapiganaji kundi la PKK wakabidhi silaha nchini Iraq
Ufugaji wa Sungura watajwa kama fursa mpya ya kiuchumi kwa Watanzania
Wanasheria watakiwa kuongeza umakini kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira
Serikali yapima na kugawa hati kata ya Pangani kupunguza migogoro ya ardhiI
Monalisa aiomba Ofisi ya Msajili wa vyama kuchukua hatua kali kwa ACT Wazalendo
CUF kutokomeza umaskini ikiwezeshwa kuingia madarakani