Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
November 26, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia apokea Hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi hapa nchini Chamwino Dodoma
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia apokea Hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi hapa nchini Chamwino Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ufaransa hapa nchini Mhe. Anne-Sophie Avé kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Barbados hapa nchini mwenye makazi yake Nairobi nchini Kenya Mhe. William Alexander McDonald kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Mhe. Ahn Enju kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ethiopia hapa nchini Mhe. Fekadu Beyene Ayana kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Switzerland hapa nchini Mhe. Nicole Providoli kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Somalia hapa nchini Mhe. Ilyasa Ali Hassan kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Australia hapa nchini mwenye makazi yake Nairobi nchini Kenya Mhe. Jenny Isabella Da Rin Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Niger hapa nchini mwenye makazi yake Addis Ababa nchini Ethiopia Mhe. Amadou Hassane Mai Daboua kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Novemba, 2024.
Post Views:
283
Previous Post
Balozi Nchimbi awasili kufunga kampeni za Serikali za Mitaa Dar es Salaam
Next Post
Yanga wakandwa na aL Hilal kwa Mkapa
Wanafunzi wamiminika banda la TCCIA
Wasanii Chege na Madee wainogesha Sabasaba
Bilioni 5.7 kukamilisha ujenzi shule mbili Siha – Kilimanjaro
Jenister Mhagama atajwa kuwa kinara kuwezesha mafanikio ya utalii tiba nchini
Samia aleta mapinduzi Tabora, miradi ya Trilioni 15 yaimarisha afya, elimu na miundombinu
Habari mpya
Wanafunzi wamiminika banda la TCCIA
Wasanii Chege na Madee wainogesha Sabasaba
Bilioni 5.7 kukamilisha ujenzi shule mbili Siha – Kilimanjaro
Jenister Mhagama atajwa kuwa kinara kuwezesha mafanikio ya utalii tiba nchini
Samia aleta mapinduzi Tabora, miradi ya Trilioni 15 yaimarisha afya, elimu na miundombinu
Juhudi za kuvimaliza vita vya Ukraine zaendelea
Maafisa maendeleo ya Jamii furukuteni kutoa elimu ya ununuzi wa umma wa asilimia 30 – Mdemu
NMB, DSE wazindua manunuzi, mauzo ya hisa kidijitali mkononi
Waziri Mambo ya Nje wa Cyprus akamilisha ziara yake nchini
Polisi watoa ufafanuzi madai ya ACT – Wazalendo
Waziri Aweso: Tuna uhakika wa maji ya kutosha Dar na Pwani
TAWIRI yawakaribisha wadau kufanya tafiti katika spishi muhimu ya Sokwe
Tanzania ina umeme wa kutosha – Dk Biteko
WanaCCM 153 Tabora wajitokeza kuwania ubunge
Bondia Zugo kuwania ubingwa wa dunia Agosti 23