Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja naRais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega kuhusu maendeleo ya ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje ya Jiji la Dodoma(Dodoma outer ring road) yenye urefu wa km (112.3)katika eneo la Mtumba Jijini Dodoma tarehe 14 Juni, 2025.