Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana Rais mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete maraa baada ya Kuwasili kugagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje ya Jiji la Dodoma(Dodoma outer ring road) yenye urefu wa km (112.3)katika eneo la Mtumba Jijini Dodoma tarehe 14 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina mara baada ya kuwasili Mtumba kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje ya Jiji la Dodoma (Dodoma outer ring road) yenye urefu wa km (112.3) Jijini Dodoma tarehe 14 Juni, 2025.