Author: Jamhuri
Madaktari MOI, Muhimbili wapiga
kambi Comoro matibabu ya kibingwa ….Wamo pia wa JKCI, Ocean Road na Benjamin Mkapa Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na Taasisi ya Mifupa (MOI) ni miongoni mwa hospitali zilizopeleka mdaktari wake bingwa kwenye kambi ya wiki…
15 mbaroni kwa tuhuma za mauaji Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, Jamuhuri,Songea JESHI la Polisi Mkoani Ruvuma linawashikilia watu 15 kwa tuhuma za mauaji ya Watu watano na wengine watatu kujeruhiwa katika tukio la mapigano ya wakulima na Jamii ya wafugaji. Watuhumiwa waliokamatwa majina yao yamehifadhiwa ambao wanaendelea…
Majaliwa awasili viwanja vya shule Ushirombo kusherehekea Siku ya Mwalimu Bukombe
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tayari amewasili kwenye viwanja vya shule ya sekondari Ushirombo kusherehekea siku ya Mwalimu- Bukombe. Mhe. Kassim Majaliwa ambaye ni mgeni rasmi katika siku ya mwalimu – Bukombe amewasili katika…
Othman Masoud: Wazee wana wajibu kubeba mabadiliko ya Zanzibar
Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amewataka wazee wa Zanzibar kutambua wajibu wao wa kihistoria wa kusimama mstari wa mbele katika mapambano ya kuleta mabadiliko kupitia uchaguzi mkuu wa Oktoba 29. Akizungumza katika mkutano wa ndani na wazee…
Mapokezi ya Othman Masoud Unguja na Pemba ishara ya Rais mpya ajae
Katika siku za hivi karibuni, Zanzibar imeshuhudia hamasa kubwa ya wananchi katika mikutano ya hadhara inayoongozwa na Othman Masoud. Kutoka mitaa ya Mjini Unguja hadi vijiji vya mbali kisiwani Pemba, maelfu ya wananchi wamejitokeza kwa wingi, wakijazana viwanjani kusikiliza ujumbe…
Karatu imeridhia Dk Samia wamempokea kwa kuweka historia mpya
Maelfu ya wananchi wa Karatu mkoani Arusha wamempokea kwa kishindo cha nguvu Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 leo tarehe 3 Oktoba 2025…





