JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Kombo ashiriki Kongamano la Diplomasia ya Afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki Kongamano kuhusu Kukuza Huduma za Afya Ulimwenguni kupitia Diplomasia lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi,…

DIT Mwanza yaanzisha kozi mpya ya Teknolojia ya Uchakataji Ngozi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) Kampasi ya Mwanza imeanzisha kozi mpya zinazolenga kuongeza ujuzi wa vijana katika sekta ya ngozi, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuchochea ajira na kuendeleza viwanda…

Waziri Mkuu Majaliwa afungua kikao cha viongozi TRA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 08, 2025 anafungua kikao kazi cha Viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (IACC). Kikao hicho kinatoa nafasi kwa viongozi na watumishi wa TRA kufanya tathmini…