Author: Jamhuri
Karatu waandika historia mapokezi kwa Dk Samia
Wenye kalamu, makaratasi huu ndio wakati wenu kwakuwa wapiga picha wao washamaliza kazi yao, yaani kaeni tayari sasa kuandika historia mpya kutoka hapa wilayani Karatu mkoani Arusha ambapo nyomi hili la wananchi hawa limejitokeza wakiwa na shangwe kwelikweli huku wakisema…
Dk Migiro awasili Karatu, atoa salama za ujio wa Dk Samia
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asharose Migiro, amewasili na kupokelewa na maelfu ya wananchi waliojitokeza katika viwanja vya mnadani wilayani Karatu mkoani Arusha leo tarehe 3 Oktoba 2025 wakiwa tayari kumsubili na kumlaki Mgombea Urais wa…
JKCI, HTAF waanzisha shindano la insha shuleni kuhusu magonjwa ya moyo
Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Moyo ya Jakata Kikwete (JKCI), kwa kushirikiana na Heart Team Africa (HTAF) wameanzisha shindano la insha shuleni ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha watanzania wanatambua hatari ya magonjwa ya moyo tangu wakiwa wadogo. Shindano hilo lilizinduliwa…
Tanzania miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika matumizi ya TEHAMA
Na Francisco Peter, Dar es Salaam Tanzania ni miongoni nchi zinazofanya vema katika utekelezaji mifumo ya matumizi TEHAMA kwenye sekta ya afya. Tayari ipo mifumo kuanzia ngazi kata ambapo imeweza kukusanya taarifa ngazi za chini kwenda hadi kitaifa ambayo usaidia…
Watoto watatu wa familia moja wafariki kwa ajali ya moto Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Watoto watatu wa familia moja, wamefariki dunia baada ya moto mkubwa kuteketeza sehemu ya juu ya nyumba ya ghorofa iliyopo mtaa wa Kitende kwa Mfipa, Kibaha, mkoani Pwani. Tukio hilo limetokea Oktoba 1, 2025 majira…
BOT, wadau kimataifa waipongeza Benki ya CRDB mageuzi ya mfumo nkuu
BOT, Wadau Kimataifa waipongeza Benki ya CRDB Mageuzi ya Mfumo Mkuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Emmanuel Tutuba, amepongeza mageuzi ya kihistoria yaliyofanywa na Benki ya CRDB katika mfumo wake mkuu…





