Author: Jamhuri
PSPTB yatangaza mitihani ya 31 ya kitaaluma, usajili kufungwa Agosti 15
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BODI ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza kuendesha Mitihani ya 31 ya kitaaluma kuanzia tarehe 25 hadi 29 Agosti, 2025, jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha taaluma na…
FCC yawahamasisha wananchi kulinda afya na haki zao dhidi ya bidhaa bandia
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia Dar es Salaam TUME ya Ushindani (FCC) imewataka wananchi kuwa mstari wa mbele katika kulinda afya na usalama wao kwa kujiepusha na bidhaa bandia, huku ikisisitiza umuhimu wa elimu kwa jamii kuhusu haki za walaji na…
TEA kuanza na awamu nyingine mafunzo ya kuendeleza ujuzi
…..Vijana 160,000 kunufaika Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA), imesema mwaka huu wa fedha itaanza utekelezaji wa awamu nyingine ya Mfuko wa Kuendeleza Ujuzi (SDF) ambapo unatarajiwa kutumia Dola za Marekani milioni 30 ndani…
Nishati safi ya kupikia ni ajenda ya dunia, Wizara inatekeleza kwa vitendo – Dk Kazungu
📌Apokea Magari Mawili kutoka Umoja wa Ulaya kwa ajili ya kuanza kampeni ya kutoa elimu ya uhamasishaji wa nishati safi ya kupikia nchi nzima 📌 Amshukuru Dkt Samia kwa kuwa kinara wa nishati safi na kuibeba ajenda hiyo 📌 Umoja…
SADC : Sekta ya nishati iwe kichocheo cha kuunganisha Afrika kujenga uchumi
📌 Yasisitiza utekelezaji wa miradi ya kipaumbele ya Nishati 📌 Kapinga ataka SADC kuweka dhamira thabiti na mikakati madhubuti ya utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Nishati na Maji wa Nchi za Jumuiya ya…