JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Naibu Waziri Dk Dugange atoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ametoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la Uchumi wa Buluu kuwa sehemu ya agenda katika vikao vya pande mbili za…

Mawaziri wakutana Lushoto kutafuta suluhu ya migogoro ya wananchi Tanga

Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Mawaziri saba (7) wa kisekta wakiwa na mwenyeji wao ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ambaye ni Mbunge wa Lushoto wamekutana wilayani Lushoto kujadili utatuzi wa changamoto na…

Simanjiro yapitisha makisio ya bilioni 45/- ya mpango wa bajeti 2026/2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simanjiro MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamepitisha kiasi cha 45,136,269,016.60 kwa ajili ya rasimu wa mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027. Afisa mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro,…