JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bashungwa amsimamisha kazi meneja TANROADS Lindi

…….…………………….. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi, Eng. Andrea Kasamwa kwa kushindwa kusimamia urejeshwaji wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi na kupelekea barabara kuu zinanounganisha wilaya hiyo…

Esther Matiko : Nitagombea ubunge Jimbo la Tarime Mjini 2025, bado sijamaliza kutatua kero

Na Helena Magabe JamhuriMedia, Tarime Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chama cha Demokrasia na na (CHADEMA), Esther Matiko amesema atagombea ubunge wa Jimbo la Tarime Mjini 2025 kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu baada ya kupokea maoni kutoka kwa watu mbalimbali…

Wanawake Tume ya Madini walipa bili za wagonjwa wenye uhitaji Hospitali ya Rufaa Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma KUELEKEA Siku ya Wanawake Duniani wanawake kutoka Tume ya Madini wamefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na kulipia gharama za matibabu kwa wagonjwa wenye uhitaji maalum ikiwemo vifaa tiba, dawa, operesheni…

Wanawake Ofisi ya Taifa ya Mashtaka waanza kuenzi siku ya wanawake kwa kuwafariji wagonjwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma OFISI ya Taifa ya Mashtaka imetoa msaada wa fedha kwa ajili ya matibabu kwa wagonjwa walilazwa kwa muda mrefu kwenye hospitali ya rufaani ya mkoa wa Dodoma ikiwa ni hatua ya kuenzi siku ya wanawake…

Mbibo ataka shughuli za utafiti, uchimbaji madini mkakati wa kuongezwa Afrika, Asia Duniani

*Aeleza Juhudi za Makusudi Zilizochukuliwa na Serikali Kuboresha Mazingira ya Uwekezaji Nchini Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo amesema ili kuwezesha usambazaji wa madini muhimu na mkakati ikiwemo matumizi ya nishati safi, shughuli za utafiti na uchimbaji zinapaswa…