Author: Jamhuri
Watanzania waliokuwa Israel warejeshwa nyumbani
Na Mwandishi Wetu Watanzania 9 waliokuwa nchini Israel wamerejea nyumbani na kulakiwa na Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Stephen Byabato katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini…
TANROADS Pwani yaanza matengenezo kinga kujihadhari na mvua za El nino -Mhandisi Baraka
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAKALA wa Barabara mkoani Pwani (TANROADS), imeanza kuchukua tahadhari ya ujio wa mvua ya el nino ikiwa ni hatua za awali kufungua kingo katika madaraja 318 na makaravati 1,540. Akitembelea kuona kazi zinazofanywa kwenye baadhi…