JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Mtanda awapongeza askari wanawake Kanda Maalum

Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mkuu wa Mkoa wa Mara Said Mtanda amewapongeza askari wanawake toka Kanda maalumu Tarime/Rorya kwa kuheshimisha Siku ya Wanawake. Akizungumza katika maadhimisho ambayo kimkoa yamefanyikia katika Kata ya Nyamswa wilayani Bunda amesema hawajawahi kushindwa kusherehesha….

Wanawake Kideleko wapanda miti bwawa la Kwamaizi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani, wanawake wa Kata ya Kideleko katika Halmashauri ya Mji wa Handeni wametumia nafasi hiyo kupanda miti na kufanya usafi katika bwawa la maji la Kwamaizi katika…

Benki ya Mwalimu Commercial yazindua ‘Tunu’

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ajenda ya kuinua wanawake kiuchumi, Benki ya Mwalimu Commercial imezindua bidhaa mpya ya ‘Tunu’ kwa ajili ya Wanawake na Vijana . Hayo yamebainishwa jijini…

Serikali Pwani yakemea uchomaji misitu kiholela

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI mkoani Pwani, imekemea tabia ya uchomaji moto misitu ,unaofanywa kwenye baadhi ya maeneo ,kwani kwa kufanya hivyo ni kusababisha uharibifu mkubwa wa mazingira. Mkoa huo ni miongoni mwa mikoa inayoshamiri kwa changamoto ya uharibifu…

Katibu Mkuu Nishati afanya kikao na wawakilishi kutoka Energy Cards

📌 Inajishughulisha na kutoa ushauri Sekta ya Nishati Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na Wataalam kutoka Taasisi ya Energy CARDS ambao walifika ofisini kwake kwa ajili ya kutambulisha shughuli wanazozifanya. Katika kikao kilichofanyika tarehe 7…