JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

ACT – Wazalendo chatangaza kujitoa kwenye Umoja wa Kitaifa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa kutokana na kutotekelezewa hoja zao tatu ikiwemo fidia kwa waliopata madhara katika uchaguzi 2020, kuundwa Tume ya Kijaji kuchunguza uvunjifu wa…

TRA yatoa tuzo kwa mwanamke kinara kulipa kodi nchi nzima

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kusherehekea siku ya Wanawake Duniani Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa tuzo ya mwanamke Mlipakodi namba moja Tanzania kwa mwaka 2023. Mwanamke huyo ni Zainab Addan Ansell ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa…

Matumizi ya nishati safi ya kupikia yameanza rasmi – Dk Biteko

📌 Agawa mitungi ya Gesi na Majiko Banifu kwa Wajasiriamali Dar es Salaam 📌 Ataka taasisi kuachana matumizi ya kuni na mkaa 📌 Ahimiza wadau kuunga mkono juhudi za Serikali 📌 Baadhi ya Wajasiriamali wafunguka Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar…

Viwanja 10,000 kupimwa awamu ya pili kwa wanaohamia kutoka Ngorongoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Msomera Jumla ya viwanja 10,000 vinatarajiwa kupangwa na kupimwa katika sehemu ya eneo lililokuwa Pori Tengefu la Handeni awamu ya pili kwa ajili ya wakazi wanaohamia kutoka hifadhi ya Ngorongoro. Hayo yamebainishwa tarehe 7 Machi 2024…

UWT yahamasisha wanawake kujisajili na umoja huo kidigitali

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kusherehekea Siku ya Wanawake dunia ambayo hufanyika Machi 8, kila mwaka, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umekuja na kampeni maalum ya kuhamasisha wanawake na wasichana kujisajili na umoja huo kielekloniki (Kidigitali). Akiitambulisha…

Mfanyabiashara ajiua kwa risasi Urambo

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Mfanyabiashara maafuru Wilayani Urambo Mkoani Tabora Ramadhani Ntunzwe (53) amejiua kwa  kujipiga risasi kichwani akiwa nyumbani kwake . Kamanda wa Polisi Mkoani hapa SACP Richard Abwao amethibitisha kutokea tukio hilo Machi 6 mwaka huu majira ya…