Author: Jamhuri
Kaimu Afisa Mtendaji kata ahukumiwa kwenda jela miaka mitatu kwa kuomba na kupokea rushwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bunda Juni 11 , 2024 katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda imeamuliwa kesi ya Jinai Na.01/2023 mbele ya Mulokozi Kamuntu, Hakimu Mkazi Mfawidhi Mwandamizi wa mahakama hiyo. Katika shauri hilo lililoendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU…
Serikali imepanga kutumia Bajeti ya Mwaka 2024/2025 trilion 49.35/-
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kwa mwaka 2024/2025 imepanga kutumia jumla ya shilingi trilioni 49.35 kiasi hicho kinajumuisha: shilingi trilioni 15.74 kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine . Ameyasema Juni 13, 2024…
Mchungaji Mastai : Vijana kuweni waangalifu na mitandao ya kijamii
Na Magrethy Katengu,Jaa8huriMedia Dar es Salaam NAIBU Katibu Mkuu Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Mchungaji Wilbroad Mastai, amewashauri vijana kuwa waangalifu na mitandao ya kijamii kwa kuwa uharibifu mkubwa wa kidunia umeelekezwa huko…
Bajeti ya 2024 yagusa Watumishi Umma, Wastaafu
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, imesikia kilio watumishi wa umma na wastaafu kuhusu kikokotoo na imekifanyia kazi kwa maslahi…
Tanzania kuendelea kushirikiana na Umoja wa Posta Duniani
Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Arusha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeahidi kuendelea kushirikiana na Umoja wa Posta Duniani (UPU) na Mashirika mengine ya kimataifa kukuza na kuendeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) na ustawi wa jamii yote ulimwenguni….
Waziri Ummy ameonya juu ya matumizi holela ya dawa
Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameitaka jamii ya watanzania kutumia dawa kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya ili kuondokana na changamoto ya usugu wa vimelea vya dawa mwilini (UVIDA) Waziri Ummy ametoa wito huo Juni 12,2024…




