JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Samia asikia kilio cha wachimbaji wadogo Songwe, leseni 37 zatolewa

Kunufaisha zaidi ya wachimbaji 5000 -Wamshukuru Rais Samia kwa kuwaendeleza wachimbaji wadogo _Waziri Mavunde awataka wachimbaji kuongeza uzalishaji baada ya kupata Leseni Kwa sasa wazalisha madini yenye thamani ya Bilioni 101 kwa miezi nane(8) Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Songwe Serikali ya…

Mbarawa awataka Watanzania kufuatilia kwa karibu utabiri wa hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amewataka Watanzania kuendelea kufuatilia kwa karibu taarifa zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kuwa taarifa zinazotolewa mamlaka hiyo inatoa taarifa zenye uhakika ili…

Bilionea Sabodo afariki dunia

Bilionea maarufu nchini, Mustafa Jaffer Sabodo amefariki Dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwakwe, Masaki jijini Dar es Salaam, mtoto wa marehemu, Danstan ameiambia Daily News Digital. “Mzee amefariki leo alfajiri akiwa nyumbani. Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa katika makaburi…

TEMESA yaagizwa kuboresha huduma za vivuko

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mafia Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuhakikishia anasimamia masuala ya usalama katika vivuko vyote nchini ili viweze kutoa huduma bora pamoja na kulinda usalama…

Madaraja 19 Ruvuma yasombwa na maji

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea MADARAJA 19 na baadhi ya barabara za maungio zimesombwa na maji mkoani Ruvuma kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Hayo yamesemwa na Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) mkoani Ruvuma…