Author: Jamhuri
Waenda jela miaka 20 kwa ujangili wa Twiga, wakutwa na shehena ya nyama Burunge
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Mahakama ya Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara imewahukumu kwenda jela miaka 20 kila mmoja wakazi wawili Babati mkoani Manyara baada ya kutiwa hatiani katika kesi ya uhujumu uchumi, baada ya kukamatwa wakiwa wameuwa Twiga…
‘Bajeti Kuu ya Serikali kuwezesha nishati safi kupikia na wanawake’
Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefungua Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia Barani Afrika unaofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO jijini Paris, Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024. Katika hotuba yake ya ufunguzi…
FCS, TradeMark Afrika wakubaliana kuboresha mazingira wezeshi ya kibiashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Foundation for Civil Society (FCS) na TradeMark Africa wamesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kuboresha mazingira wezeshi na jumuishi ya kibiashara kuhakikisha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wanajumuishwa kikamilifu katika uendeshaji…
Sisi ACT- Wazalendo tumeichambua bajeti Wizara ya Afya, bado kuna tatizo la ufinyu wa bajeti – Dk Sanga
Waziri wa Afya Ummy Ali Mwalimu (Mb.), amewasilisha Bungeni mpango wa Wizara na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 pamoja na maeneo ya kipaumbele ambayo wizara itajielekeza nayo kwa mwaka 2024 -2025. Sisi, ACT Wazalendo kupitia…
Bondia Sherif Lawal afariki baada ya kupigwa ngumi nzito
Bondia Sherif Lawal (29) amefariki dunia akiwa hospitali akipatiwa matibabu baada ya kupigwa ngumi iliyomuangusha chini katika pambano lake dhidi ya bondia kutoka Ureno Malam Varela, lililochezwa kwenye ukumbi wa Harrow Leisure Center siku ya Jumapili. Katika pambano hilo la…





