JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali kuimarisha ushirikiano sekta ya kilimo, maliasili

……………………………………………………………………………… Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Seif Shaaban Mwinyi, amesema serikali zote mbili za Tanzania na taasisi zake zitaendelea kuimarisha mashirikiano ili ziweze kuleta maendeleo nchini. Akizungumza katika hifadhi ya Msitu Pugu kanda ya Mashariki wilaya…

Serikali kuwezesha huduma za kibenki kimataifa

Na Farida Ramadhani, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema kuwa itaendelea kutoa ushirikiano kwa benki za biashara nchini kuanzisha kampuni tanzu nje ya nchi ili kusambaza huduma za kibenki katika nchi mbalimbali na kurahisisha ufanyaji wa biashara kati ya nchi na nchi….

Waziri Mabula ageuka Mbogo

Na Mwandishi Maalum, Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Dkt.Angelina Mabula amegeuka mbogo na kuwashambulia watendaji wake akiagiza,hataki kuwaona ofisini wale wote waliolalamikiwa kuhusika na migogoro ya ardhi iliyokithiri mkoani Dodoma ambapo Wizara imebaini wananchi wengi, wabunge 20,mtumishi…

Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya anwani za makazi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Mkurugenzi wa huduma za Mawasiliano, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Mulembwa Munakuamewataka wananchi kuheshimu miundombinu ya mfumo wa anwani za makazi ili kurahisisha huduma za kijamii na kuchochea uchumi. Munaku amesema hayo leo…