Author: Jamhuri
Bilioni 16.8 kutumika Mradi wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu ya Miombo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kilimo na Chakula Duniani (FAO) wameanza kutekeleza Mradi wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu ya Miombo unoafadhiliwa na Mfuko wa…
NMB yaahidizi makubwa kwa Dk Samia akifunga tamasha la Kizimkazi
BENKI ya NMB imemuahidi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwamba itaendelea kuwa mdau kinara wa Serikali yake katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Watanzania. Ahadi hiyo imetolewa jana Agosti 31 na Afisa Mtendaji…
Majaliwa:Serikali yaridhishwa na ukuaji sekta ya madini
Sekta ya madini ni miongoni mwa sekta zinazokua kwa kasi hapa nchini, hivyo Serikali imeendelea kuhakikisha uwekezaji katika Sekta ya Madini unaongezeka ili iweze kuchangia ipasavyo katika ukuaji wa uchumi. Takwimu zinaonyesha kuwa kwa sasa kasi ya ukuaji wa shughuli…
PSSSF yajipanga kuendeleza ubora, mafao kulipwa ndani ya siku 30
Na Beatrice Sanga-MAELEZO Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesema utaendelea kuimarisha huduma zake kwa wateja ili kuongeza ufanisi na kupunguza urasimu na muda wa malipo kwa wanufaika wa mfuko huo. Hayo yameelezwa leo August 31,…