Author: Jamhuri
Waziri Mkuu apokea mil.10 za maafa Katesh
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania , Sheikh Dkt. Alhad Issa Salum (kulia) na Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo, Dkt. Mhasa Ole Gabriel kwa ajili…
Chalamila ataka TRA kufanya operesheni maalum ya elimu kwa mlipa kodi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa maagizo hayo leo Desemba 18, 2023 wakati wa mkutano maalum wa kimkakati na watumishi wa TRA katika Ukumbi wa Suma JKT, Mwenge-DSM. RC Chalamila amesema…
Watu 111 wapoteza maisha, 230 wajeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi China
Watu 111 wamekufa na wengine zaidi ya 230 wamejeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi lililopiga eneo la kaskazini magharibi mwa China la Gansu-Ginghai usiku wa kuamkia leo. Kituo cha Ulaya cha kufuatilia mitikisiko ya ardhi duniani EMSC kimesema, tetemeko hilo la…
TPA yafungua rasmi ofisi nchini Malawi
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) imezindua Rasmi Ofisi yake katika nchi ya Malawi ikiwa ni hatua ya Mamlaka hiyo kusogeza huduma za Bandari karibu na wateja wake wa nchini humo. Waziri wa Uchukuzi wa Tanzania Mhe. Profesa…
FCS yatoa tathmini ya mwaka mmoja utekelezaji mradi wa ‘Uraia Wetu’
Msimamizi wa Mradi wa ‘Uraia Wetu’ Nicholas Lekule akitoa tathimini juu ya mradi huo, katika semina ya Wahariri na Waandishi wa Habari iliyofanyika leo Disemba 18,2023 Jijini Dar es Salaam. Msimamizi wa Mradi wa ‘Uraia Wetu’ Nicholas Lekule akizungumza kwenye…