Author: Jamhuri
Mizengo Pinda ahimiza elimu ya biashara ya kaboni
WAZIRI Mkuu Mstaafu,Mizengo Pinda ametoa wito kwa Ofisi ya Makamu wa Rais kuendelea kutangaza fursa za Biashara ya Kaboni ili kuwawezesha wananchi kupata mwako wa kuhifadhi mazingira kwa kupanda miti hivyo kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Ametoa rai…
Kiwanda cha KEDA Chalinze chapiga tafu ujenzi wa shule ya Jakaya Kikwete
Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia,Chalinze Kiwanda cha kutengeneza Marumaru cha KEDA kilichopo Chalinze, mkoani Pwani, kimetoa Boksi 1,750 zenye thamani ya sh.milioni 46 ikiwa ni mchango kwa shule za sekondari za Jakaya Mrisho Kikwete na Miono High School zilizopo halmashauri ya…
Serikali kuokoa biI.33/- kupitia kukamilika kiwanda cha gloves
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI inatarajia kuokoa shilingi bilioni 33 inayotumia kuagiza mpira wa mikono (Groves) nje ya nchi baada kukamilisha miundombinu ya kiwanda cha bidhaa hiyo kilichopo Idofi mkoani Njombe na kuanza uzalishaji ndani ya mwaka huu wa…
Dk Biteko:Tusiruhusu viongozi wa nchi Yetu wakatwezwa utu wao
Na Mathias Canal, Katoro-Geita Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko (Mb) ambaye pia ni Waziri wa Madini amekemea vikali kejeli, kutweza utu wa viongozi na kauli za kuudhi ikiwemo matusi. Amesema kuwa Rais…
PICHA: Rais Samia ndani ya Simba Day kwa Mkapa
Picha za matukio mbalimbali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa katika kilele cha Klabu ya Simba (Simba Day) kama mgeni raami leo Agosti 06, 2023
Biteko ampa heko Rais Samia ujenzi wa ICU wilaya ya Bukombe
Na Mathias Canal, Bukombe-Geita Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kutoa fesha kiasi cha shilingi 300,000,000 kwa ajili ya Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharura katika hospitali ya Wilaya ya Bukombe. Mradi…