Author: Jamhuri
Ummy: Akina mama epukeni mikopo ya kausha damu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilimanjaro Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Ummy Nderiananga amewatahadhalisha wanawake kutochukua mikopo itakayowarudisha nyuma kimaendeleo maarufu Kausha damu. Ummy ameyasema hayo alipotembelea wilaya…
Kibamba: Wanahabari msione aibu kusimamia haki zenu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile amewashauri waandishi wa habari nchini kutumia uhuru ulioongezeka kwa kuwajibika na kuzingatia sheria. Akizungumza mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati wa majadaliano ya Sheria ya…
Uwanja wa Amaan Zanzibar wakaguliwa maandalizi ya AFCON 2027
Na Eleuteri Mangi, WUSM, Zanzibar Timu ya Wakaguzi ya utayari wa nchi za Kenya Uganda na Tanzania kuhusu utayari wao wa kuwa wenyeji AFCON 2027, leo hii Julai 31, 2023 wapo Zanzibar ambapo wamekagua Uwanja wa Amaan, hospitali ya Mnazi…
Kinana: Wapinzani jengeni hoja, acheni kejeli kwa Rais
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinanaa amewashauri na kuwakumbusha wanaiasa wa upinzani kuheshimu fursa ya maridhiano ya kisiasa iliyotolewa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Amesema lugha za matusi, kejeli na dharau dhidi kiongozi wa nchi zinapaswa…