Author: Jamhuri
Mlipuko waua zaidi ya watu 40 nchini Pakistan
Mlipuko katika jimbo la kaskazini magharibi mwa Pakistan la Khyber Pakhtunkwa umeua zaidi ya watu 40, maafisa wamesema. Mlipuko huo ulitokea katika mji wa Khar unaokaliwa na kabila la Wabajaur, ambao uko karibu na mpaka kati ya Pakistan na Afghanistan….
UTT AMIS yatoa elimu ya uwekezaji kwa wahariri, yapata faida ya trilioni 1.5
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katika kipindi cha miaka miwili mfululizo chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS Tanzania imepata faida kutoka sh.bilioni 539 hadi sh.trilioni 1.5 sawa na asilimia 185. Hayo yameelezwa Dar…
Rais Samia apeleka neema ya maji Kaliua
Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua wamepongeza juhudi za Serikali ya Awamu Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwatatulia changamoto ya maji pamoja na kuwapokea wakandarasi wa ujenzi wa maji miji 28 waliokabidhiwa rasmi eneo la…
Waziri Mkuu awapongeza Watanzania walioshiriki kongamano la uchumi Urusi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapongeza wafanyabiashara 19 kutoka Tanzania ambao walishiriki maonesho ya kibiashara kwenye Jukwaa la Kimataifa la Uchumi na Kibinadamu la Afrika na Urusi lililomalizika Julai 28, mwaka huu. Wafanyabiashara hao wanamiliki makampuni yanayohusika na sekta za elimu,…
‘Wenye ulemavu wana haki sawa na wengine’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu kutowaficha watoto wao ndani akisema kufanya hivyo ni kuwanyima haki zao za msingi. Ummy…
TIC mbioni kuanzisha dirisha la kielektroniki kwa wawekezaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC), kimesema kiko katika hatua za mwisho za kuweka mfumo utakaowawezesha wawekezaji kupata huduma za mahala pamoja kwa njia ya kielektroniki utakaojulikana kama Tanzania Investment Electronic Window. Kukamilika kwa mfumo huo kutawawezesha…