Author: Jamhuri
Tanzania kujifunza utafiti, uvunaji, uendelezaji madini chini ya sakafu ya Bahari Kuu
*Yawa ya Kwanza Barani Afrika kuwa Mwenyeji Mkutano wa Wakandarasi Waliowekeza kwenye Madini Chini ya Sakafu ya Bahari KUU* Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini kwa mara nyingine imeweka Historia ya kuwa Nchi ya Kwanza…
Waziri Ndumbaro ashuhudia TP Mazembe ikipata alama tatu kwa Mkapa
Na Shamimu Nyaki Waziri wa Utamaduni, Sanaa na MichezoDkt. Damas Ndumbaro ameshuhudia mchezo kati ya TP Mazembe ya DRC Congo dhidi ya Esperance Sportive de Tunis ya nchini Tunisia ikiwa ni mchezo wa mashindano ya African Football League ambao umemalizika…
Shule ya St Mary’s kuunganishwa na Maktaba Kuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeahidi kuiunganisha shule ya St Mary’s Mbezi Beach na Maktaba Kuu ya Taifa ili wanafunzi wa shule hiyo wapate fursa ya kusoma vitabu mbalimbali kwa namna rahisi. Ahadi hiyo ilitolewa…
Wiki ya AZAKI kuboresha teknolojia nchini
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Kutokana na mabadiliko ya kidigitali kubadilisha mifumo kwa kiasi kikubwa katika jamii na pia kuwa na uwezo wa kuendelea kuleta mabadiliko mengine zaidi, wiki ya Asasi za Kiraia mwaka huu inayotarajiwa kuanza kesho jijini Arusha…
#BreakingNews:Sophia Mjema aondolewa ukatibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM.
Na mwandishi Wetu Jamhuri media, Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Edward Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huo Sophia Mjema alikuwa…