Author: Jamhuri
TMA yatoa ufafanuzi uwepo wa hali ya hewa ya El Nino
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa taarifa juu ya mwenendo wa uwepo hali ya El Niño katika bahari ya Pasifiki na athari zake nchini. Kwa Mujibu wa Taarifa ambayo imetolewa na Mamlaka hiyoleo imeeleza…
Paroko auawa kwa kupigwa na chuma kichwani Arusha
Na Mwandudhi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Karatu mkoani Arusha, Pamphili Nada, ameuwa kwa kupigwa na kitu kizito na mtu anayesadikiwa kuwa na matatizo ya akili ambaye alilazimisha kuingia kanisani kwa madai ya kutaka kusali. Hata…
Jeshi la RSF lateka Darfur Kusini
Jeshi la wapiganaji la Rapid Support Forces (RSF) limefanikiwa kumiliki Darfur Kusini huku kukiwa na taarifa zaidi za ukiukwaji wa haki za binadamu. Mapigano kati ya RSF na Jeshi la Sudan yamefanya familia kadhaa kuvunjika na kukosa makazi. Zipo taarifa…
Jela miaka 20 kwa kuondoa miundombinu ya gesi asilia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja washitakiwa wawili kwa kosa la kuondoa miundombinu ya gesi asilia yenye thamani ya Sh milioni 99.3 ambayo ni mali ya Shirika la…
Senyamule azindua mpango mkakati kudhibiti migogoro ya ardhi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa wito kwa Halmashauri ya jiji la Dodoma na Kamati ya ardhi kufanya kazi kwa weledi ili kuutendea haki Mpango Mkakati wa kutokomeza kero za migogoro ya ardhi ambayo…