JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Majaliwa: Mikataba ya uendelezaji bandari itazingatia maslahi ya nchi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha kuwa mikataba ya utekelezaji wa makubaliano ya uendeshaji wa maeneo ya bandari nchini kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World itazingatia maslahi ya nchi na kuleta manufaa kwa…

Serikali yaanza kufanya maboresho mwongozo wa biashara ya kaboni

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imeanza kufanyia maboresho Kanuni na Mwongozo wa Biashara ya Kaboni za mwaka 2022 ili ziweze kuwatambua na kuwanufaisha wakulima na wafugaji nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…

Serikali yaongeza vituo maalumu 175 vya huduma mahututi kwa watoto wachanga

NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema, Serikali imeongeza vituo vyenye vyumba maalumu kwa ajili ya kutoa huduma kwa watoto wachanga wenye umri kati ya sifuri mpaka mitano wenye hali mahututi (Neonatal Care Unit), kutoka 18 mwaka 2017 kufikia…

Wakala wa meli Tanzania waunga mkono ujio wa DP World

Na Mwandishi Wetu Chama cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam, kikisema kuwa uwekezaji huo utasaidia kuongeza ufanisi wa bandari na kukuza…

Wadau wa afya washauriwa kushirikiana MSD kutatua mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Rehema Madenge, amewataka wadau wa afya mkoani humo, kushirikiana kwa karibu na Bohari ya Dawa (MSD) ili kuboresha huduma na kutatua changamoto mbalimbali zinazoukabili mnyororo wa ugavi wa bidhaa…

Aweso akiri kuwepo udhaifu kwa baadhi ya miradi ya maji nchini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Licha ya Serikali kutumia fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maji katika maeneo mengi nchini bado lipo tatizo la miradi hiyo kushindwa kuwa endelevu na kuisababishia hasara Serikali. Waziri wa Maji nchini…