JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watu 604 wamepata huduma za upimaji moyo wakati wa maadhimisho Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Watu 604 wamepata huduma za upimaji na matibabu ya moyo wakati wa maadhimisho ya siku ya moyo duniani yaliyofanyika katika Hospitali ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group iliyopo Temeke jijini…

TASWA yapongeza uteuzi wa Mobhare Matinyi

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kinampongeza Mobhare Matinyi kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali. Uteuzi wa Matinyi aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa TASWA, umefanywa jana Oktoba Mosi,…

REA kutoa mikopo ujenzi vituo vya mafuta vijijini

Lilian Lundo na Veronica Simba, JamhuriMedia, Geita Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekuja na mpango wa kutoa mikopo midogo kwa ajili ya kujenga vituo vya mafuta vidogo vidogo vijijini ili kuzuia ajali za moto zinazotokana na kuuza mafuta ya Petroli…

AGRF kutoa Trilioni 1.2 kuimarisha sekta ya mifugo, uvuvi na kilimo

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI inatarajia kupata sh.trilioni 1.2 kutoka kwa wadau mbalimbali kwa lengo la kuimarisha sekta ya mifugo, uvuvi na kilimo. Fedha hizo zimepatikaa kupitia Mkutano Mkuu wa Mifumo ya Chakula ya Afrika (AGRF) uliofanyika Septemba, mwaka huu,…

Jukwaa la Wahariri lapongeza uteuzi wa Mobhare Matinyi kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia Jukwau la Wahuriri Tanzunia (TEF) limepokea kwa furaha uteuzi wa Mobhare Matinyi kuwa Mkurugenzi wa ldara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali. Pia TEF inampongeza kwa uteuzi huo wa Oktoba 1, 2023. Kwa mujibu…

Vifaa vya ushoni, TEHAMA vyaongeza ufanisi Bohari Kuu ya Jeshi

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi- Dar es Salaam. Jeshi la Polisi kupitia Bohari kuu imesema imeendelea kusimamia uzalishaji wa sare za maafisa na askari wa Jeshi la Polisi nchini Pamoja na kufunga mifumo ya Tehama na vifaa vya kisasa…