JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

DC Moyo kufanya msako shuleni kuwabaini wanafunzi waliowekewa vijiti

Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo amewataka wanawake kuacha tabia ya kuwawekea vijiti vya uzazi wa mpango watoto mwenye umri wa chini ya miaka 18 kufanya hivyo sawa na ukatili wa kijinsia. Akizungumza wakati mkutano wa hadhara katika…

Tuzo za NSCA kwa wanamichezo kutolewa Ijumaa

Na Tatu Saad,JamhuriMedia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Baraza la Michezo Tanzania ‘BMT’ linategemea kutoa tuzo kwa wana michezo mbalimbali Ijumaa Machi 17,2023. Tuzo hizo zijilikanazo Kama National Sports Council…

Malezi yazingatie maadili ya Mtanzania

Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo inawasisitiza wazazi, walezi na walimu kuzingatia maadili katika malezi ya watoto nyumbani,shuleni na vituo vya malezi ili kutoa huduma ya malezi kwa watoto kwa kuzingatia maadili ya Mtanzania. Hayo yamesemwa…